Bombo kuna vyuo viwili chuo cha kwanza kinaitwa tanga school of nursing ambacho ndani yake kinatoa kozi ya uuguzi,community health,na pia kuna enviroment science tawi la muhimbili na chuo cha pili ni AMO assistant medical officer hiki kinatoa diploma na pia kuna dental
kwanza ww unataka kutumia njia za uzazi wa mpango kwa malengo gani na pia una mume au laah na kama unataka kutumia hizi njia kwa kuchepuka au laah kwan unapo sema atumie kitanzi ndio kitanzi ni kuzur kwa hakina homoni na itakuwa unaingia kwenye siku zako kama kawaid ila sasa unatakiwa kutulia...
Ukiwa na d moja tu ya bios na zingine zote f husomi hii kozi ''' vigezo vyake ni hizi unatakiwa kuwa na pass nne ila katika hizo pass nne d moja iwe ya bios na d nyingn 3 kutoka masomo mengne ila ww inaonyesha una d3 tu so hutosoma chuo chochot then pia mfumo wa sas hv mama anataka kuanzia d4 so...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.