Huwa sipendi kuandika, ila Ccm ya sasa kuna shida ya uwezo wa watu kufikiri vyema.
Sidhani kama Tz tunauhitaji sana vyama vya siasa.
Tunahitaji siasa safi!
Pia Christopher Mtikila alishinda kuhusu mgombea binafsi, katiba inaruhusu, liangaliwe hili.
Vyama kwa Afrika ni vikundi vya ushirikina km...
Mimi na wewe tunakutana sehemu moja tu, kwenye kuchukia tawala ya kifisadi ya serikali ya ccm.
Ila kimtazamo tunatofautiana sana. Mfano:
Wewe unamuona Magufuli alikuwa hafai kabisa, yaani alikuwa Rais muovu, ila mimi namuona Magufuli km ni kiongozi aliyekuwa na uzalendo uliotukuka.
Pia wewe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.