Huwa sipendi kuandika, ila Ccm ya sasa kuna shida ya uwezo wa watu kufikiri vyema.
Sidhani kama Tz tunauhitaji sana vyama vya siasa.
Tunahitaji siasa safi!
Pia Christopher Mtikila alishinda kuhusu mgombea binafsi, katiba inaruhusu, liangaliwe hili.
Vyama kwa Afrika ni vikundi vya ushirikina km...
Mimi na wewe tunakutana sehemu moja tu, kwenye kuchukia tawala ya kifisadi ya serikali ya ccm.
Ila kimtazamo tunatofautiana sana. Mfano:
Wewe unamuona Magufuli alikuwa hafai kabisa, yaani alikuwa Rais muovu, ila mimi namuona Magufuli km ni kiongozi aliyekuwa na uzalendo uliotukuka.
Pia wewe...
Inawezekana tukafanana kidogo.
Ila tofauti wao wanafanya kwaajili ya maendeleo ya nchi yao na wananchi wao kwa ujumla.
Sisi tunafanya kwa ajili ya ubinafsi na kujineemesha watu wachache.
Kuuza nchi kwa wageni kwa kupitia mikataba ya kilaghai kwaajili ya maslah ya wachache.
Ktk ukanda huu kwasasa...
Na hawa wa kwetu huku waliodai watakata watu vichwa tena wametamka hadharani ni kina nani?
Mbona hajatokea muislam safi wakupinga km huyo shujaa wa austrelia?
Hatujawahi kufaidika na hiyo misaada zaidi ya kuwaneemesha watu wachache. Wanaishi kifahari ktkt ya umasikini uliotopea.
Tumefukarishwa hadi tumefukarika, umasikini ndio umekuwa fahari yetu!
Watakao umia ni wao!
Masikini hafirisiki!
Ni upotevu wa muda na upigaji wa pesa.
Hotuba ya Rais kwa wazee wake wa Dar amejibu yote.
Kaongelea sababu ya alizoita vurugu kutokea.
Pia kaongelea sababu ya wafanya vurugu kuuliwa.
Sasa tume aliyoiunda yeye mwenyewe sioni ikija na majibu tofauti na aliyoyasema.
Hii ndo itarudisha waliotekwa mtaani?
Waliouwawa kuwa hai?
Maiti zilizopotea kupatikana?
Mungu ampe busara Rais wetu akae pembeni. Nadhani ndio tiba pekee.
Huku mitaani malalamiko ni mengi, sioni jinsi ya kurudisha imani kwa watu bila uwajibikaji wa mkuu mwenyewe kuwajibika.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.