Nani mwenye kazi ya kufumbua macho raia?
Serikali ya Ccm inawafumba macho raia na kuwafumbua macho wageni.
Ccm ni kikundi haram ktk Nchi yetu Tanzania.
Swali ni mwananchi anafaidikaje na hizo rasilimaqli?
Yote hayo yanafaidisha zaidi wageni na wazawa wachache mafisadi.
Mwananchi hana maji, umeme, huduma za afya hakuna.
Rushwa kila mahali,
Acha uchawa wa kipuuzi
Ccm nikipi walichobakiza kikiwa bado ni cha wananchi?
Bandari?
Misitu,?
Madini?
Uhuru?
Mbona vyote vimegawiwa?
Kwanza ccm watoke, walipotufikisha hakufai
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.