Recent content by mambio

  1. mambio

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Jamii forum acheni ungese! Serikali imepiga ban tunaingia kwa VPN na nyie tena mnazingua
  2. mambio

    ULEVI: Kwa nini wengine wanabaki juu (Wanajimudu) wakati wengine wanaporomoka?: Kwa jicho la Huruma tutafakari maisha ya ndugu zetu hawa

    Juzi nilizilaani pombe na nikaapa kuacha, nimeshinda jana tu, hapa nilipo sasa iv nakunywa,⁷ kila usiku huwa naapa kuacha, na sijawahi fanikiwa
  3. mambio

    Baada ya Chadema kujimaliza yenyewe kisiasa, ni chama gani cha siasa kitafuata nyayo na kujichimbia kaburi la sahau kisiasa Tanzania?

    Huwa sipendi kuandika, ila Ccm ya sasa kuna shida ya uwezo wa watu kufikiri vyema. Sidhani kama Tz tunauhitaji sana vyama vya siasa. Tunahitaji siasa safi! Pia Christopher Mtikila alishinda kuhusu mgombea binafsi, katiba inaruhusu, liangaliwe hili. Vyama kwa Afrika ni vikundi vya ushirikina km...
  4. mambio

    Humphrey Polepole popote ulipo tunakukumbuka kwa ushujaa ulioonyesha kwa ajili ya Taifa hili

    Mimi na wewe tunakutana sehemu moja tu, kwenye kuchukia tawala ya kifisadi ya serikali ya ccm. Ila kimtazamo tunatofautiana sana. Mfano: Wewe unamuona Magufuli alikuwa hafai kabisa, yaani alikuwa Rais muovu, ila mimi namuona Magufuli km ni kiongozi aliyekuwa na uzalendo uliotukuka. Pia wewe...
  5. mambio

    Humphrey Polepole popote ulipo tunakukumbuka kwa ushujaa ulioonyesha kwa ajili ya Taifa hili

    Unaonesha ni jinsi gani ulivyotaahira. Unatulazimisha kumchukia Jembe, mchspakazi na Mzalendo wa kweli Magufuli?
  6. mambio

    Ni vema Askofu Ruwai'chi akatubu kwa kumuita lofa mtu aliyemshitaki Padri Kitima kwa Papa

    Yesu alimuita 'Mbweha' Kaisari. Pia lofa sio tusi ila ni mtu anaezurula bila kazi ya kufanya.
  7. mambio

    Picha mbili zinaelezea kwanini kwa sasa wao ni bora kuliko sisi

    Inawezekana tukafanana kidogo. Ila tofauti wao wanafanya kwaajili ya maendeleo ya nchi yao na wananchi wao kwa ujumla. Sisi tunafanya kwa ajili ya ubinafsi na kujineemesha watu wachache. Kuuza nchi kwa wageni kwa kupitia mikataba ya kilaghai kwaajili ya maslah ya wachache. Ktk ukanda huu kwasasa...
  8. mambio

    Waislam wenye itikadi kali waua na kujeruhi wayahudi waliokuwa wakisherehekea sikukuu jijini Sydney-Australia

    Na hawa wa kwetu huku waliodai watakata watu vichwa tena wametamka hadharani ni kina nani? Mbona hajatokea muislam safi wakupinga km huyo shujaa wa austrelia?
  9. mambio

    Angalizo wanaoshikiwa akili na Wanaharakati njaa wa Tanzania

    Duuh.... Ila uwongo huwa haudumu!
  10. mambio

    PostGE2025 Wataalamu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa walaani Ukiukwaji wa Haki za Binadamu nchini Tanzania

    Tuliwaambia ROYO TUA ilikuwa ni usanii hamkutuelewa. Who are you?
  11. mambio

    Ina maana gani hasa Mtanzania kufurahia vikwazo vya kimataifa kwa nchi yetu?

    Hatujawahi kufaidika na hiyo misaada zaidi ya kuwaneemesha watu wachache. Wanaishi kifahari ktkt ya umasikini uliotopea. Tumefukarishwa hadi tumefukarika, umasikini ndio umekuwa fahari yetu! Watakao umia ni wao! Masikini hafirisiki!
  12. mambio

    PostGE2025 Tume ya Rais inachunguza nini kwa miezi mitatu?

    Ni upotevu wa muda na upigaji wa pesa. Hotuba ya Rais kwa wazee wake wa Dar amejibu yote. Kaongelea sababu ya alizoita vurugu kutokea. Pia kaongelea sababu ya wafanya vurugu kuuliwa. Sasa tume aliyoiunda yeye mwenyewe sioni ikija na majibu tofauti na aliyoyasema.
  13. mambio

    PostGE2025 Ushauri: Rais, ili kuepusha ‘D9’ kuwa siku ya damu na kuanguka kwa uchumi, zingatia haya manne

    Hii ndo itarudisha waliotekwa mtaani? Waliouwawa kuwa hai? Maiti zilizopotea kupatikana? Mungu ampe busara Rais wetu akae pembeni. Nadhani ndio tiba pekee. Huku mitaani malalamiko ni mengi, sioni jinsi ya kurudisha imani kwa watu bila uwajibikaji wa mkuu mwenyewe kuwajibika.
Back
Top Bottom