Recent content by mambio

  1. mambio

    JamiiForums Tanzania Mange Kimambi na ukimya wa viongozi wa kijamii: Je, Tanzania inaingizwa kwenye mtego wa machafuko ya kisasa? Kina Pasco Mayalla wako wapi?

    Serikali yako haijawahi kuwasikiliza hao kina WARIOBA, KITIMA, GWAJIMA nk... Wote waliojaribu kuishauri serikali chamoto wamekiona..
  2. mambio

    JamiiForums Tanzania Umaarufu wa bi mkubwa kulikoni

    Siku hizi hawasemi mama a naupiga mwingi! Kaupiga hadi kajifunga
  3. mambio

    JamiiForums Tanzania Hivi samia yupo competent kwenye jambo gani angalau tujivunie uwepo wake kwenye hilo eneo

    Kula Kwa urefu wa kamba Na kung'ang'annia madaraka
  4. mambio

    JamiiForums Tanzania Aliyegomea uteuzi wa Rais aburuzwa Mahakamani kwa Utakatishaji Fedha na wenzake. Je, ni kweli alitakatisha fedha au kuna kisasi?

    Maadam wote ni ccm ni sawa tu Hao waalimu si ndio huwa wanatumika kuvurugq chaguzi kwa wizi wa kura? Baasi mororo
  5. mambio

    JamiiForums Tanzania Huu mpango wa Dangote kujenga refinery East Africa umekaaje?

    Watapiga wapi udalali ikifanyika hivyo,?
  6. mambio

    JamiiForums Tanzania Unashauri nini kifanyike kutatua matatizo ya Tanzania ambayo tumekuwa tukilalamikia?

    Siku tukiongozwa na tunao wachagua uwezekano ni mkubwa wa kusonga mbele
  7. mambio

    JamiiForums Tanzania Unashauri nini kifanyike kutatua matatizo ya Tanzania ambayo tumekuwa tukilalamikia?

    Mleta mada unaakili timamu? Tumshauri nani aliyetayari kushaurika? Watu wanataka uongozi tu, mengine hayawahusu!
  8. mambio

    JamiiForums Tanzania Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Jamii forum acheni ungese! Serikali imepiga ban tunaingia kwa VPN na nyie tena mnazingua
  9. mambio

    JamiiForums Tanzania ULEVI: Kwa nini wengine wanabaki juu (Wanajimudu) wakati wengine wanaporomoka?: Kwa jicho la Huruma tutafakari maisha ya ndugu zetu hawa

    Juzi nilizilaani pombe na nikaapa kuacha, nimeshinda jana tu, hapa nilipo sasa iv nakunywa,⁷ kila usiku huwa naapa kuacha, na sijawahi fanikiwa
  10. mambio

    JamiiForums Tanzania Baada ya Chadema kujimaliza yenyewe kisiasa, ni chama gani cha siasa kitafuata nyayo na kujichimbia kaburi la sahau kisiasa Tanzania?

    Huwa sipendi kuandika, ila Ccm ya sasa kuna shida ya uwezo wa watu kufikiri vyema. Sidhani kama Tz tunauhitaji sana vyama vya siasa. Tunahitaji siasa safi! Pia Christopher Mtikila alishinda kuhusu mgombea binafsi, katiba inaruhusu, liangaliwe hili. Vyama kwa Afrika ni vikundi vya ushirikina km...
  11. mambio

    JamiiForums Tanzania Humphrey Polepole popote ulipo tunakukumbuka kwa ushujaa ulioonyesha kwa ajili ya Taifa hili

    Mimi na wewe tunakutana sehemu moja tu, kwenye kuchukia tawala ya kifisadi ya serikali ya ccm. Ila kimtazamo tunatofautiana sana. Mfano: Wewe unamuona Magufuli alikuwa hafai kabisa, yaani alikuwa Rais muovu, ila mimi namuona Magufuli km ni kiongozi aliyekuwa na uzalendo uliotukuka. Pia wewe...
  12. mambio

    JamiiForums Tanzania Humphrey Polepole popote ulipo tunakukumbuka kwa ushujaa ulioonyesha kwa ajili ya Taifa hili

    Unaonesha ni jinsi gani ulivyotaahira. Unatulazimisha kumchukia Jembe, mchspakazi na Mzalendo wa kweli Magufuli?
Back
Top Bottom