Recent content by mambio

  1. mambio

    JamiiForums Tanzania Baadhi ya pombe zinazozalishwa Tanzania zapigwa marufuku kuuzwa Rwanda

    Nyingi feki mkuu Ni kinywaji changu pendwa ila napambana kuachana nacho. Kuipata konyagi original ni sawa na kutafuta kahaba bikira
  2. mambio

    JamiiForums Tanzania CHADEMA wanapanga kuturejesha kwa wakoloni

    Nifanye kazi, unanilisha? Unanijua? Acha utaahira
  3. mambio

    JamiiForums Tanzania CHADEMA wanapanga kuturejesha kwa wakoloni

    Ccm imewagawa watanzania. Wameuza uhuru wetu kwa wageni. Tuungane tuwafurushe hawa ili tuitengeneze Nchi yetu
  4. mambio

    JamiiForums Tanzania CHADEMA wanapanga kuturejesha kwa wakoloni

    Una nini chako Nchi hii km Mtanzania? Nchi imepokwa na wazawa wachache wametuuza kwa wageni. Ccm ni shida, hawana uzalendo Ccm ni zaidi ya mkoloni.
  5. mambio

    JamiiForums Tanzania CHADEMA wanapanga kuturejesha kwa wakoloni

    Nani mwenye kazi ya kufumbua macho raia? Serikali ya Ccm inawafumba macho raia na kuwafumbua macho wageni. Ccm ni kikundi haram ktk Nchi yetu Tanzania.
  6. mambio

    JamiiForums Tanzania CHADEMA wanapanga kuturejesha kwa wakoloni

    Swali ni mwananchi anafaidikaje na hizo rasilimaqli? Yote hayo yanafaidisha zaidi wageni na wazawa wachache mafisadi. Mwananchi hana maji, umeme, huduma za afya hakuna. Rushwa kila mahali, Acha uchawa wa kipuuzi
  7. mambio

    JamiiForums Tanzania CHADEMA wanapanga kuturejesha kwa wakoloni

    Ccm nikipi walichobakiza kikiwa bado ni cha wananchi? Bandari? Misitu,? Madini? Uhuru? Mbona vyote vimegawiwa? Kwanza ccm watoke, walipotufikisha hakufai
  8. mambio

    JamiiForums Tanzania Tuweni makini na hawa wapenzi wa mtandaoni

    Namjua huyo
  9. mambio

    JamiiForums Tanzania Kuishangilia kwa ghafla Serengeti boys, huwenda kukawapo hofu na kupoteza mchezo

    Naomba Mungu wafungwe! Hatutaki fujo za 'kombe la mama'
  10. mambio

    JamiiForums Tanzania Mange Kimambi na ukimya wa viongozi wa kijamii: Je, Tanzania inaingizwa kwenye mtego wa machafuko ya kisasa? Kina Pasco Mayalla wako wapi?

    Serikali yako haijawahi kuwasikiliza hao kina WARIOBA, KITIMA, GWAJIMA nk... Wote waliojaribu kuishauri serikali chamoto wamekiona..
  11. mambio

    JamiiForums Tanzania Umaarufu wa bi mkubwa kulikoni

    Siku hizi hawasemi mama a naupiga mwingi! Kaupiga hadi kajifunga
  12. mambio

    JamiiForums Tanzania Hivi samia yupo competent kwenye jambo gani angalau tujivunie uwepo wake kwenye hilo eneo

    Kula Kwa urefu wa kamba Na kung'ang'annia madaraka
  13. mambio

    JamiiForums Tanzania Aliyegomea uteuzi wa Rais aburuzwa Mahakamani kwa Utakatishaji Fedha na wenzake. Je, ni kweli alitakatisha fedha au kuna kisasi?

    Maadam wote ni ccm ni sawa tu Hao waalimu si ndio huwa wanatumika kuvurugq chaguzi kwa wizi wa kura? Baasi mororo
Back
Top Bottom