Nilikuwa na pioneer elite Lx301 dobly atmos na dts x, kwa experience niliyoipata setting ya dts x ina sound nzuri sana kuliko dobly atmos,doby inachagua speaker, pia audio enhancer ya MCACC inaruhusu setting ya kila chanel ya speker, nilikuwa nafanya manualy,bahati mbaya sikuwa na...
Wanapopitisha huwa wanajiangalia wao,wanajisahau wana ndugu jamaa ,rafiki,mke hata mtoto ambaye ni mtumishi,kimbembe kinakuja mke kastaafu anaambulia mafao ya 20m ya mkupuo halafu 70m anaambiwa italipwa kidogokidogo, akipiga hesabu ya muda mke aliotumikia serikali,ndio akili zinamrudi aoipitisha...
Kwa sasa mwendo wa kuvusha ni boda, bidhaa kenya za kuvusha ni nyingi sana maana bei iko chini, kuna kwenda kuchukua na kupeleka, unajua hela ya kenya iko juu zaidi ya tz, hivyo ujipeleka mzigo unarudi na faida kubwa. Kuna wanaopeleka hata piwa (gongo) kenya
Ile boda haijawahi ishiwa magendo,toka enzi za kuingiza bia za tusker na plisner, wakahamia kwenye sabuni na mafuta ya taa na ya kula (bidco) na sasa ni mwendo wa bati na cement maana bati ya kenya ni bei rahisi na haipauki, cemnt pia ni buku 12 tu za k i tz. Wakati ya bongo ni 18
R.I.P Mtegetwa
Kwa wale wa Hgl mzunguko ulikuwa unaanza kwa Wagi Kamanija pale buguruni,unakuja kwa mtegetwa au unaenda chang'ombe kwa Ustaadh unakuja kumalizia kwa mtegetwa
Hii imani niliikuta wilaya ya mkinga kwa Wadigo mpakani na horohoro huko, watu hawachimbi choo, wanaamini ukichimba na kujenga choo unakuwa umewajengea majini sehemu ya kuishi, hivyo hawana uatamaduni wa kujenga nyumba na choo, watu wanaenda kujisadia porini au baharini, kuna maeneno wametnga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.