Recent content by Mamaya

  1. Mamaya

    Dkt. Ayub Rioba astaafu na kuaga TBC baada ya muda wake kuisha

    Kabla hajawa DG tbc alikuwa mtu wa hoja ,mchambuzi mzuri aisiyeegemea upande wowote, akiandikia pia gazeti la Rai nguvu ya hoja wakati likiwa chini ya Generali Ulimwengu,sio ile ya Bashe na Rostam. Lakini kweli ile methali ya usiongee wakati wa kula ina ukweli ndani yake. Sasa amemaliza kula...
  2. Mamaya

    Kodtec Speaker systems

    Hv mkuu recoil yuko vizuri kuliko pio? Na vip kembao
  3. Mamaya

    Kodtec Speaker systems

    Hujawahi miliki 3004D4?
  4. Mamaya

    Kodtec Speaker systems

    Ile pioneer yako 300 4d4 umeuza?
  5. Mamaya

    Kodtec Speaker systems

    Sema Kisiagi. Bongo hvi vitu bado sana,mchina arboder na alitop anawakimbiza
  6. Mamaya

    Kodtec Speaker systems

    Lina Bei gani mkuu nami nipate moja
  7. Mamaya

    Niulize chochote kuhusu Subwoofer na Sounds system

    File hizo hizo mwanzoni au umebadili usb?
  8. Mamaya

    Niulize chochote kuhusu Subwoofer na Sounds system

    Soma menu yake ina uwezo wa kusoma file fomat gani. Pia ina uwezo wakufungua file folder kwa kiwango gani,jeninaweza kufungua file within file au mpaka nyimbo ziwe open ndio inaweza kucheza?
  9. Mamaya

    Niulize chochote kuhusu Subwoofer na Sounds system

    Kwa hizo frequency kupata bass nzito sahau ,walau hata ingekuwa 30hrz ,hiyo hata seapiano anamkalisha. Hata ingekuwa bass ya 200w kwa hizo freq, ikkutana na bass ya 100w ya 20 hrz, hiyo watt 100 inamkalisha vzuri tu.Hizo n freq ni za mid na high, uza iyo hombo,hapo hupati bass mpaka upandishe...
  10. Mamaya

    Nipe uzoefu wako kuhusu Songea/Ruvuma

    Mbona humwelekezi pande za ndongosi, liweta, litapwasi, akalime makaba
  11. Mamaya

    KERO TTCL Fiber Kimara Temboni tumedhulumiwa pesa zetu

    TTCL ni moja ya shirika la Umma linalikufa kwa kuzidiwa wateja baada ya UDART. Nimeomba toka mwaka jana mpaka leo sijafungiwa
  12. Mamaya

    Niulize chochote kuhusu Subwoofer na Sounds system

    Suala sio ukubwa wa spika hata uweke inc 12 kwanza itategea uwezo wa amplifier ya soundbar, pili frequence respond ya sound bar, tatu ni spika yenyewe, ohms zake vs ohms za amplifier ya sound bar, narated power ya spika
  13. Mamaya

    Wazee wanatoa maazimio yao juu ya kilichotokea tarehe 29 Oktoba

    Wazee gani tena, wazee si walishakutana na Mama?
Back
Top Bottom