Recent content by Mamaya

  1. Mamaya

    JamiiForums Tanzania Msajili wa vyama vya siasa na Polisi, Mungu awape Moyo wa Uvumilivu. Hii CHADEMA ya Kahama itawatoa roho🤣🤣

    Hizi ni za Picha za kutengeneza maabara? Sio mambo ya Adobe haya
  2. Mamaya

    JamiiForums Tanzania IPI NI BLENDER BORA KATI YA KENWOOD AU PMC

    Kenwood og nenda posta kwa wahindi, kkoo zimejaa feki, cover kuubwa ndani motor ndogo, pmcc, ninja ,ndio hao hao tu
  3. Mamaya

    JamiiForums Tanzania Kodtec Speaker systems

    Mkuu tupe mrejesho wa Limshangazi
  4. Mamaya

    JamiiForums Tanzania Kodtec Speaker systems

    Bongo tuko busy na aborder na alitop, hizi mambo pelekea watu wa kenya na arusha kidogo
  5. Mamaya

    JamiiForums Tanzania Uchaguzi wa magari, nichukue gari gani kati ya Toyota IST, Rush, Ractis, Raum au Spacio?

    Kwa usawa huu wa bei ya mafuta tafuta gari ambayo ni hybrid,
  6. Mamaya

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Punguza uwongo na kumzushia mwezio kifo, INSIDER MAN kaandi uzi hapa 01 March 2026
  7. Mamaya

    JamiiForums Tanzania TTCL inaendeshwa kisiasa au kitaalamu? Kwanini wanazima intaneti Jumapili mpaka Jumatatu?

    Tunalinda maslaahi ya Chama kwanza punguza gubu
  8. Mamaya

    JamiiForums Tanzania Ulitumia dawa gani kupona fangasi za kwenye korodani?

    We jamaa hujasoma pugu boys kweli? Hujapitia pond?
  9. Mamaya

    JamiiForums Tanzania Naomba kujuzwa zaidi kuhusu Toyota Wish New Model

    Mkuu ulikuja kununua hiyo gari?
  10. Mamaya

    JamiiForums Tanzania Naomba kujuzwa zaidi kuhusu Toyota Wish New Model

    Ulaji wa mafuta ukoje
  11. Mamaya

    JamiiForums Tanzania Kumbe Jamii Forums imeshafunguliwa?

    Bado, bila vpn siipati
  12. Mamaya

    JamiiForums Tanzania Jukwaa la kuwatambua watumishi wa Mungu wa ukweli tu, Hii ni kutokana na ongezeko kubwa la uwepo wa Mitume na Manabii wengi wa uongo na mchongo

    Kaijana unajua kinachoponya ninimani ya mtu na wala sio mchungaji?
  13. Mamaya

    JamiiForums Tanzania Dkt. Ayub Rioba astaafu na kuaga TBC baada ya muda wake kuisha

    Kabla hajawa DG tbc alikuwa mtu wa hoja ,mchambuzi mzuri aisiyeegemea upande wowote, akiandikia pia gazeti la Rai nguvu ya hoja wakati likiwa chini ya Generali Ulimwengu,sio ile ya Bashe na Rostam. Lakini kweli ile methali ya usiongee wakati wa kula ina ukweli ndani yake. Sasa amemaliza kula...
Back
Top Bottom