Recent content by Mamaya

  1. Mamaya

    Niulize chochote kuhusu Subwoofer na Sounds system

    Ilipiga power supply yote ikaua na card ya hdmi . Dobly atmos sio kwamba spika za kawaidi hazifanyi kuna speaker zake special za dobly atmos
  2. Mamaya

    Niulize chochote kuhusu Subwoofer na Sounds system

    Nilikuwa na pioneer elite Lx301 dobly atmos na dts x, kwa experience niliyoipata setting ya dts x ina sound nzuri sana kuliko dobly atmos,doby inachagua speaker, pia audio enhancer ya MCACC inaruhusu setting ya kila chanel ya speker, nilikuwa nafanya manualy,bahati mbaya sikuwa na...
  3. Mamaya

    Niulize chochote kuhusu Subwoofer na Sounds system

    Unakula vitu vya DTS neo6
  4. Mamaya

    TANZIA Gardner G Habash mtangazaji wa Clouds Media afariki dunia

    Mtu anakunywa Kvant na energy
  5. Mamaya

    Hivi ni nani alipitisha Kikokotoo, mbona Wabunge wa CCM wanakikataa, au ni Utapeli wa kisiasa kuelekea Uchaguzi?

    Wanapopitisha huwa wanajiangalia wao,wanajisahau wana ndugu jamaa ,rafiki,mke hata mtoto ambaye ni mtumishi,kimbembe kinakuja mke kastaafu anaambulia mafao ya 20m ya mkupuo halafu 70m anaambiwa italipwa kidogokidogo, akipiga hesabu ya muda mke aliotumikia serikali,ndio akili zinamrudi aoipitisha...
  6. Mamaya

    TANZIA Gardner G Habash mtangazaji wa Clouds Media afariki dunia

    R.I.P kampuni za pombe zimepata hasara kwa kupoteza mteja muhimu kwenye hiyo tasnia
  7. Mamaya

    TANZIA Mfanyabiashara Emilian Woiso afariki dunia

    Kwa sasa mwendo wa kuvusha ni boda, bidhaa kenya za kuvusha ni nyingi sana maana bei iko chini, kuna kwenda kuchukua na kupeleka, unajua hela ya kenya iko juu zaidi ya tz, hivyo ujipeleka mzigo unarudi na faida kubwa. Kuna wanaopeleka hata piwa (gongo) kenya
  8. Mamaya

    TANZIA Mfanyabiashara Emilian Woiso afariki dunia

    Ile boda haijawahi ishiwa magendo,toka enzi za kuingiza bia za tusker na plisner, wakahamia kwenye sabuni na mafuta ya taa na ya kula (bidco) na sasa ni mwendo wa bati na cement maana bati ya kenya ni bei rahisi na haipauki, cemnt pia ni buku 12 tu za k i tz. Wakati ya bongo ni 18
  9. Mamaya

    TANZIA Mwalimu maarufu wa Geography, Mtegetwa Mng'ala Afariki Dunia

    R.I.P Mtegetwa Kwa wale wa Hgl mzunguko ulikuwa unaanza kwa Wagi Kamanija pale buguruni,unakuja kwa mtegetwa au unaenda chang'ombe kwa Ustaadh unakuja kumalizia kwa mtegetwa
  10. Mamaya

    TANZIA Mfanyabiashara Emilian Woiso afariki dunia

    Waiso products ni wa mkuu,huyu ni wa tarakea
  11. Mamaya

    Paul Makonda asema tukutane 2025

    Sawa nabii, ua ndio unabeti
  12. Mamaya

    Niulize chochote kuhusu Subwoofer na Sounds system

    Ichunguze hiyo spika kama imechanika
  13. Mamaya

    Peter Msechu acha comedy kwenye afya yako, utakufa premature utuachie mkeo, watoto wako watateseka

    Stress pia hupelekea mtu kunenepa, hiyo sio solution
  14. Mamaya

    Mlango wa kuzimu uliopo nyumbani

    Hii imani niliikuta wilaya ya mkinga kwa Wadigo mpakani na horohoro huko, watu hawachimbi choo, wanaamini ukichimba na kujenga choo unakuwa umewajengea majini sehemu ya kuishi, hivyo hawana uatamaduni wa kujenga nyumba na choo, watu wanaenda kujisadia porini au baharini, kuna maeneno wametnga...
Back
Top Bottom