Recent content by Mamaya

  1. Mamaya

    JamiiForums Tanzania Niulize chochote kuhusu Subwoofer na Sounds system

    Mzee wa Lows unamiliki nini sasa
  2. Mamaya

    JamiiForums Tanzania Niulize chochote kuhusu Subwoofer na Sounds system

    Huo mziki unanunua nyumba bro
  3. Mamaya

    JamiiForums Tanzania Niulize chochote kuhusu Subwoofer na Sounds system

    Ni hapo kwa jirani Kenya, mzee sisi tukatest sub 4 za arborde au alitop
  4. Mamaya

    JamiiForums Tanzania Kenya nzima IPO gizani, wenda Tanzania ikawa gizani siku 3

    Rombo umeme umekata
  5. Mamaya

    JamiiForums Tanzania Kuweni makini na hizi page za biashara zinazofunga comments. Laki 6 yangu ilikuwa inaondoka!

    Matapeli wengine ni wale wanauza mabando bei ya kitonga,uki clixk page zao direct zinakupeleka Wsp
  6. Mamaya

    JamiiForums Tanzania Dkt. Rioba aibukia sakata la Mhadhiri UDOM, asema Tutakuwa Taifa la watu wajinga sana tukidhani uhuru wa kuhoji na kukosoa unamilikiwa na watu fulani

    Mudawa kula umeisha, anarudi yule Rioba wa gazeti la Rai nguvu ya Hoja
  7. Mamaya

    JamiiForums Tanzania Niulize chochote kuhusu Subwoofer na Sounds system

    Kosa la kwanza alilolifanya ni kupitoea sokoni kwa muda mrefu kisha kurudi tena kodteck na seapiano ni subwoofer za mwanzoni kabisa, ukiachana na wengine kama wale akina mingo,X5,,sayona. Kosa la pili baada ya kurudi sokoni bithaa zake akauza mwenywe zaidi kkupitia maduka yake aliyofungua...
  8. Mamaya

    JamiiForums Tanzania Niulize chochote kuhusu Subwoofer na Sounds system

    +255 748 040 464 mcheki huyo yuko ilala au search kule inst na fb anatumia jina used kama mpya, ila bei zake zimechangamka sana
  9. Mamaya

    JamiiForums Tanzania Niulize chochote kuhusu Subwoofer na Sounds system

    Huyo jamaa ni Mkinga aliyeoa mchina, jamaa kwenye home music kama subwoofer anakwama kwenye usambazaji na bei, hata kwenye professiona audio kama mixer,booster, speaker,mic amejaribu lakini soko haliendi vizuri,vijana wanauza bithaa zake wanataja bei za kiuwenda wazimu
  10. Mamaya

    JamiiForums Tanzania Mwanamke msomi kuwa mama wa nyumbani ni hasara kwa Wazazi na nchi iloyomsomesha?

    Waliaachika kwenye ndoa ndio wamekuwa washauri wa ndoa siku hizi.
  11. Mamaya

    JamiiForums Tanzania Board ya Prado TX

    Nenda tandale, pita habarabara ya tandale uzuri, kuna yard za kutosha hiyo njia kunazia magomeni mpaka sinza
  12. Mamaya

    JamiiForums Tanzania Jinsi nilivyofilisika na kupoteza Tsh Milioni 25 kupitia kamari ya Aviator

    We sema chai tu,kuna binmkubwa mmoja, daktari wa magonjwa ya moyo mji mkuu wa seeikali alikuwa anavheza hii kitu,akienda semina hela yote inaishia kwwenye kamati, mpaka tunamchangia nauli ya kurudi, mwisho wa wa siku mpaka gari yake noah ilichuliwa kwa sababu ya pesa ya bond ya kamari. Ombea...
  13. Mamaya

    JamiiForums Tanzania Kodtec Speaker systems

    Huu unanunua IST na chenji inabaki
Back
Top Bottom