Kosa la kwanza alilolifanya ni kupitoea sokoni kwa muda mrefu kisha kurudi tena kodteck na seapiano ni subwoofer za mwanzoni kabisa, ukiachana na wengine kama wale akina mingo,X5,,sayona. Kosa la pili baada ya kurudi sokoni bithaa zake akauza mwenywe zaidi kkupitia maduka yake aliyofungua...
Huyo jamaa ni Mkinga aliyeoa mchina, jamaa kwenye home music kama subwoofer anakwama kwenye usambazaji na bei, hata kwenye professiona audio kama mixer,booster, speaker,mic amejaribu lakini soko haliendi vizuri,vijana wanauza bithaa zake wanataja bei za kiuwenda wazimu
We sema chai tu,kuna binmkubwa mmoja, daktari wa magonjwa ya moyo mji mkuu wa seeikali alikuwa anavheza hii kitu,akienda semina hela yote inaishia kwwenye kamati, mpaka tunamchangia nauli ya kurudi, mwisho wa wa siku mpaka gari yake noah ilichuliwa kwa sababu ya pesa ya bond ya kamari. Ombea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.