Alifanya big mistake kuacha dawa lakini pia alitakiwa ahudhurie kila mara kwenye vituo vya care and treatment kwaajili ya ku pewa dawa na kitu kingine kufanyiwa ni determination ya progress ya ugonjwa. Ambapo huchukuliwa CD4, Viral load, Lever function test, Renal function test nk.
Sasa hapo...
Halafu hii Taaluma kwa kupenda ukubwa Head Master mwite Mwalim badala ya Mkuu uone Afisa ngazi ya wilaya muite Mwalim uone. Mbona Afya kuna Daktari awe boss asiwe boss aidha Muuguzi anaitwa Sister fulani regardless Elimu au wadhifa alonao
Naikubali mno ITV habari UTV ndio siwaelewi kabisa muda mwingi habari ni moja tu na mahojiano marefu juu ya swala moja mf kipindi cha Corona mwanzo mwisho na sasa hivi Uchguzi mwanzo mwisho as if hamna incidents zozote nchini
Dialysis sio mchezo kama huna pesa you are Gone. Kina jamaa zangu mama yao alikuwa na hilo tatizo uzuri walikuwa na pesa waliinunua hiyo machine akawa anafanyiwa na madaktari nyumbani. Kuna siku ilitokea issue ya clotting mechanism kugoma ilibidi akodiwe ndege haraka kupelekwa Nairobi Kenya...
Niliwahi kusafiri na ndugu yake 2007 tukitokea Mwanza to Dar alinichekesha aliponiambia Mzee kila kitu kwake ni Siasa tu hana vision wala future mbadala.
Hivyo sishangai
Okay hata zikiwa ni za zamani bado Uchebe hakuwa na mandate ya kufanya hicho alichofanyaga.
Kumbuka Jinai huwa haina ku expire.
Ajiadae vizuri tu kupambana na askari waliobobea kwenye maswala ya Jinsia otherwise atapata taabu sana
Gender based violence GBV au ukatili wa kijinsia ndio tatizo hapo
Hivyo Uchebe ajipange kisawasawa kupambana na askari wa dawati la jinsia. Otherwise nampa pole sana Shilole
Hoja ni ya msingi. Mf shule anayosoma mwanangu wanataka pia pesa ya study tour kitu ambacho kinadharia hakitowezekana kwa vile Watoto watakuwa kwenye crush programme pia wanadai pesa ya Extra classes ambayo iliwekwa kwa ajili ya mwezi wa sita shule zikifungwa Form 4 waendelee jambo ambalo halipo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.