Mshahara wa Mwalimu wa Sekondari

Mshahara wa Mwalimu wa Sekondari

Mnajadili ujinga gani sijui, tuna vipindi 4 kwa siku muda mwingi tunapiga stori na kuhudumia mishe zetu binafsi.

Tar 24 SAA 10 jioni nipo foleni nmb nachota 200,000 yangu bila usumbufu
 
Diploma ya afya
Four passes in non religious subjects
Diploma ya ualimu
CSEE and ACSEE with principle in one teaching subject and one S.
Hizo in sifa za kusoma diploma za afya na ualimu kwa mujibu was NACTE.
Nani kafeli hapo?
[/QUOTE]
yani kiukweli diploma ya afya wanachukuaga failures nyingi sana yaani eti D tatu ktk PCB na D ya English
 
Walimu ni wale watu waliofeli form 4 au form 6.
Ukipata div 4 au 3 ya mwisho utaskia "nenda kajaribu ualimu"
Diploma ya afya
Four passes in non religious subjects
Diploma ya ualimu
CSEE and ACSEE with principle in one teaching subject and one S.
Hizo in sifa za kusoma diploma za afya na ualimu kwa mujibu was NACTE.
Nani kafeli hapo?
[/QUOTE]
yani kiukweli diploma ya afya wanachukuaga failures nyingi sana yaani eti D tatu ktk PCB na D ya English
 
Diploma ya afya
Four passes in non religious subjects
Diploma ya ualimu
CSEE and ACSEE with principle in one teaching subject and one S.
Hizo in sifa za kusoma diploma za afya na ualimu kwa mujibu was NACTE.
Nani kafeli hapo?
yani kiukweli diploma ya afya wanachukuaga failures nyingi sana yaani eti D tatu ktk PCB na D ya English
[/QUOTE]
Anachukua stories za kijiweni analeta huku
 
Halafu hii Taaluma kwa kupenda ukubwa Head Master mwite Mwalim badala ya Mkuu uone Afisa ngazi ya wilaya muite Mwalim uone. Mbona Afya kuna Daktari awe boss asiwe boss aidha Muuguzi anaitwa Sister fulani regardless Elimu au wadhifa alonao
 
Halafu hii Taaluma kwa kupenda ukubwa Head Master mwite Mwalim badala ya Mkuu uone Afisa ngazi ya wilaya muite Mwalim uone. Mbona Afya kuna Daktari awe boss asiwe boss aidha Muuguzi anaitwa Sister fulani regardless Elimu au wadhifa alonao
Hii no hoja mpya
 
Halafu hii Taaluma kwa kupenda ukubwa Head Master mwite Mwalim badala ya Mkuu uone Afisa ngazi ya wilaya muite Mwalim uone. Mbona Afya kuna Daktari awe boss asiwe boss aidha Muuguzi anaitwa Sister fulani regardless Elimu au wadhifa alonao
sio kweli mbona wengi tu wanabaki na hicho cheo cha mwl....hadi akina Mwl Nyerere ....Mwinyi,Majaliwa kasim
 
Diploma=TGTS C = 535,000/=
Degree = TGTS D = 716,000/=
Baada ya miaka 4, Huyo wa C atapanda D na D atapanda E = 940,000/=
Wataendelea kupanda hadi mwisho TGTS H.
Bila shaka nimejibu.
TGTS H ni pesa ngapi
 
I concur. Ahsante. Kumbe walimu wanakula maisha kimtindo.
wanakula maisha gan? kumbka hyo n basic salary bado hajakatwa kodi(PAYE),Nssf,CWT,NHIF,Loan board...

piga hesabu hapo akikatwa anapokea take home sh ngapi?
 
wanakula maisha gan? kumbka hyo n basic salary bado hajakatwa kodi(PAYE),Nssf,CWT,NHIF,Loan board...

piga hesabu hapo akikatwa anapokea take home sh ngapi?
kuna rafki angu mwalimu anadai kua anabaki na laki 4 tu
Yes mwalimu wa degree anapokea laki NNE yaani 4k baada ya makato.
Mungu saidia walimu wetu wanahali ngumu.
 
kuna rafki angu mwalimu anadai kua anabaki na laki 4 tu
Yes mwalimu wa degree anapokea laki NNE yaani 4k baada ya makato.
Mungu saidia walimu wetu wanahali ngumu.
hii mifumo ya nchi ina tatzo somewhere sio bure mana haiwesekani mwalimu aliesoma chekechea, miaka saba primary, akasoma miaka sita secondary, akasoma mitatu chuo (jumla miaka 17) yaan mda wote huo alikuwa anahangaika ili aje alipwe laki 4.

akat mbunge wa darasa la saba analipwa milion 11+ kila mwezi. this is insane!!
 
Back
Top Bottom