Inawezekana kama ulivyosema kila dawa ina stage zake huyu naye zilishafika mwisho wa kumsaidia,tatizo mleta mada nae kakimbia wakati kuna waliomshauri vizuri huko juu au sijui ndo yupo kwenye vikao kumpumzisha nduguye!!!Dah kwanini Aache dozi sasa? Ubaya ukiacha dozi hali ikawa mbaya so rahisi dawa kufanya kazi tena. Na kila dawa INA stages zake sasa kama alishafika dawa stage ya mwisho. Tumuombee tu .
Kuna ukweli Mchungu nlitaka kuusema lakini si vizuri..!! Pole sana ndugu yangu lakini USIJARIBU KUACHA DAWA ZA UKIMWI yani hata ukijakuziirudia ulizoiacha unakuta hazifanyi kazi virus washakuwa suguu.. Wengi huwa hawaponiii.
Daah ni kweli kabisa mkuu. Wanachukulia kitu simple sana. Aisee kuna watu wanateseka sana na hili gonjwa basi tu mungu ndio anaejua.Inawezekana kama ulivyosema kila dawa ina stage zake huyu naye zilishafika mwisho wa kumsaidia,tatizo mleta mada nae kakimbia wakati kuna waliomshauri vizuri huko juu au sijui ndo yupo kwenye vikao kumpumzisha nduguye!!!
Mtaani vijana wanaziloweka mbichi tu hakuna anayejali wenyewe wanakwambia ukimwi malaria tu hatari cancer na figo.
Ndo kuna wapuuzi hapa wanasema ugonjwa wa ukimwi ni nadharia tuu
Ni sahihi. Huyo ndugu ampokee Yesu awe Bwana na Mwokozi wa maisha yake ili aupate uzima wa milele. Maisha haya tunayoishi yana mwisho wake. Mwisho wa maisha haya ni mwanzo wa maisha mengine. Mungu alimuumba mwanadamu aishi milele. Ukiamwamini Yesu unaishi maisha ya amani na furaha milele. Usipowamini Yesu unaishi maisha ya tabu na kuteseka milele. Wakati wa kufanya maamuzi ni sasa.Yesu ndio dawa, mshauri na umpeleke kwa Mchungaji ili aokoke mapema
Mmh inatisha kwa kweli!! Mungu atusaidieKwa maelezo yako huyo ameshatoka kwenye stage ya HIV sasa hivi yuko kwenye stage ya AIDS which is no reversible.
Labda kwenye vituo vya HIV research labs wangeweza kumpa combination ya ARV kupitia mishipa ya damu.
Daah kweli aseeh haya mambo ya kubeti life Mungu atusaidieNyuzi kama hizi zinatukumbusha tuache uzinzi na tabia hatarishi ya kupata magonjwa
Kwenye last stage, hii sio solutionKwani nini kaacha dawa ARV solution arudie dawa maisha yaendelee hakuna jingine
Upuuzi kama huo hua nausoma nkiwa nasinzia kitandanTena anakukomalia shingo kuwa yuko sahihi...
Kwenye last stage, hii sio solution
Kwahatua hiyo tunasema mgonjwa amesha toka kwenye hatua ya HIV na sasa yupo kwenye AIDS. Sasa nikiandika hapa solution kama ulivyo uliza, I'm sure nitaonekana mchawi na libaba lenye roho mbaya zaidi.Solution ni nini?
Nawashukuru.
Mgonjwa ameshafariki. Ubarikiwe sana