TAKUKURU wamchefua Magufuli huko Dodoma

TAKUKURU wamchefua Magufuli huko Dodoma

Ila TAKUKURU mmeonyesha mpo kutekeleza mambo ya kutumwa , vichwani zero kabisa.

Hivi jengo kama hili, na mnamwita Rais aje kuzindua, akili kweli hizi.

Magufuli amewaonya kwamba waache kujipendekeza kwa kutaka kujenga ofisi Chato.

Inaonekana afande wa TAKUKURU hamna kitu na anacho waza yeye ni kujipendekeza.

.View attachment 1513664View attachment 1513665
Amezidi naye akome sasa, safi sana Takukuru na maujinga yenu

Alijua anakwenda kuzindua ghorofa? Au daraja
 
Ila TAKUKURU mmeonyesha mpo kutekeleza mambo ya kutumwa , vichwani zero kabisa.

Hivi jengo kama hili, na mnamwita Rais aje kuzindua, akili kweli hizi.

Magufuli amewaonya kwamba waache kujipendekeza kwa kutaka kujenga ofisi Chato.

Inaonekana afande wa TAKUKURU hamna kitu na anacho waza yeye ni kujipendekeza.

.View attachment 1513664View attachment 1513665
Wizi mtupu. Mpaka aibu. Huyu kiongozi wa Takukuru anajua anachokifanya? Anababaika kujieleza utadhani haijakaa gesh
 
TAKUKURU walitakiwa waundiwe chombo cha ku evaluate integrity yao in daily basis kama ilivyo kwa taasisi zingine. Vinginevyo bado ni shida
 
Magufuli ni tapeli wa kisiasa na mpenda Kiki zenye kumdhalilisha.

Hiyo nyumba kusema imejengwa kwa 143M kawaambia mwenyewe waseme na atawakosoa ili ijijenge kisiasa kipindi hiki cha uchaguzi, anajua wajinga watasema Magufuli si mchezo bana.

Hiyo ya kutaka kujenga ofisi Chato ni maelekezo ya Magufuli ili akatae ioneka e wateule wake wanajipendekeza kwenda kujenga Chato lakini mwenyewe hapendi,ni kujisafisha kwa omo na dodoki wakati wa uchaguzi huu.

Wenye akili hatudanganyiki.
 
Na ofisi chato itajengwa kimya kimya huku amedhalilisha watu. Pengine yeye ndio aliwambia wakajenge chato
Magufuli ni tapeli wa kisiasa na mpenda Kiki zenye kumdhalilisha.

Hiyo nyumba kusema imejengwa kwa 143M kawaambia mwenyewe waseme na atawakosoa ili ijijenge kisiasa kipindi hiki cha uchaguzi, anajua wajinga watasema Magufuli si mchezo bana.

Hiyo ya kutaka kujenga ofisi Chato ni maelekezo ya Magufuli ili akatae ioneka e wateule wake wanajipendekeza kwenda kujenga Chato lakini mwenyewe hapendi,ni kujisafisha kwa omo na dodoki wakati wa uchaguzi huu.

Wenye akili hatudanganyiki.
 
Magufuli ni tapeli wa kisiasa na mpenda Kiki zenye kumdhalilisha.

Hiyo nyumba kusema imejengwa kwa 143M kawaambia mwenyewe waseme na atawakosoa ili ijijenge kisiasa kipindi hiki cha uchaguzi, anajua wajinga watasema Magufuli si mchezo bana.

Hiyo ya kutaka kujenga ofisi Chato ni maelekezo ya Magufuli ili akatae ioneka e wateule wake wanajipendekeza kwenda kujenga Chato lakini mwenyewe hapendi,ni kujisafisha kwa omo na dodoki wakati wa uchaguzi huu.

Wenye akili hatudanganyiki.
Acha kuwaza kipumbavu! Tatizo mmetawaliwa na chuki!!.
 
Tuweke ushabiki pembeni, magufuli ana mapungufu yake kama binadamu lkn ukiitazama speech ya leo utagundua huyu jamaa yuko vizuri, kuanzia dhamira yake na hata uwezo wake wa kukemea mambo ya kipumbavu kwa baadhi ya watendaji wake.
Tangia akiwa waziri huyu mh Rais alikuwa vizuri sana, japo anayo mapungufu mengi sana hasa kutojali watumishi wa umma na ubaguzi fulani fulani katika kutoa huduma za jamii, lakini anauwezo mzuri sana wa kufuatilia
 
Acha kuwaza kipumbavu! Tatizo mmetawaliwa na chuki!!.

Tulia wewe MATAGA sindano ikuingie maana ukifurukuta itaingia vibaya.

Hiyi ndiyo tabia ya Magufuli kuna mifano mingi sana. Sema nini director wa movie zake hajiongezi kila siku script ile ile.
 
Magufuli ni tapeli wa kisiasa na mpenda Kiki zenye kumdhalilisha.

Hiyo nyumba kusema imejengwa kwa 143M kawaambia mwenyewe waseme na atawakosoa ili ijijenge kisiasa kipindi hiki cha uchaguzi, anajua wajinga watasema Magufuli si mchezo bana.

Hiyo ya kutaka kujenga ofisi Chato ni maelekezo ya Magufuli ili akatae ioneka e wateule wake wanajipendekeza kwenda kujenga Chato lakini mwenyewe hapendi,ni kujisafisha kwa omo na dodoki wakati wa uchaguzi huu.

Wenye akili hatudanganyiki.
Bora wengi mmeanza kumjua. Mie Magu huwa simuamini kabisa. Analosema ni tofauti na anachomaanisha. Eti wanajipendekeza kupeleka vitu Chato.
Wakati yeye amepeleka UWA hawa ndege, hospitali ya rufaa, Jengo la Tra ghorofa, Jengo la Zimamoto ghorofa, Jengo la mahakama, Jengo la crdb na mbuga ya wanyama

Huyu mzee as long as Mungu yupo naamini anaadhabu yake maalum huko mbinguni maana si kwa kiwango hiki cha unafiki
 
Back
Top Bottom