Very bright you are mkuu. Mlolongo wa pf3 ndio umemuua huyo binti innocent. Kunahitajika bunge kurekebisha sheria au kusaidia kurekebisha utaratibu huu. Yaani mgonjwa anazidiwa watu wanawaza pf3!! This is sh.it.
Nafikiri aliyeleta thread hajaenda shule kabisa na ana wivu na watu waliosoma. Ajue kuwa wasomi dunioni kote ndio huongoza kwa kuwa na stable and sustainable income and thus life.
Mleta mada jifunze kuwa biashara si hii tu unayojua ya kufanya uchuuzi, yani, buy and sell. Unaposoma ukaajiriwa...
siku hiyo barabara ikipanuliwa ikawa two lanes each side, je huo mzani utabomolewa tena!!!? kwa nini wasingeujenga mbali kidogo ili kuepusha gharama za kuhamisha hamisha wakati wa upanuzi wa hiyo barabara ambao tunasikia uko kwenye mipango ya fast lane to chalinze.
Huo ni uongo, foleni ipo ubungo kama kawaida na itaweza kuongezeka zaidi. Mara nyingi Dar jumapili kunakuwa hakuna foleni kubwa kulinganisha na siku zingine.
Ni mpaka pale hao ccm wanaojifanya wanaakili watakapopata kujua kutumia maoni ya wataalam ndo foleni itapungua.
Kuna haja gani ya kuijadili bajeti na kutumia fedha kwa takribani wiki mbili wakati wabunge hawana ubavu wa kuikataa hiyo bajeti?
je katiba mpya ime address hili tatizo?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.