Recent content by Mama yake P

  1. M

    Baada ya mashambulizi: Tumerejea hewani, Tupo imara zaidi!

    Dah nilikuwa nadata kila nikijaribu kuingia humu inashindikana. Hongereni kwa kazi
  2. M

    Fahamu zaidi kuhusu tatizo la maumivu ya magoti (Osteoarthritis)

    Kuna product kutoka forever living inaitwa forever freedom inasaidia sana hilo tatizo, kipindi kifupi tu baada ya kuanza kuitumia maumivu yataisha ni PM no yako kama utahitaji maelezo zaidi
  3. M

    Mnawachukuliaje watu wa GNLD na Forever Living Products?

    Kwanini usikae na huyo mtu aliyekufuata akueleweshe biashara inafanyikaje? Maana umekuja kuuliza humu kwa watu ambao hata hawajui biashara inaendaje unafikiri watakushauri nini?
  4. M

    Mnawachukuliaje watu wa GNLD na Forever Living Products?

    Ukitaka kuwa pilot mfate pilot akushauri ufanye nini ili nawe uwe pilot. Ukimfuata dereva wa bajaj au dereva taxi hautapata majibu sahihi. Akili za kuambiwa changanya na zako
  5. M

    JF Business Club: Imeanzishwa rasmi leo na members wenye commitment ya kipekee kabisa

    Hongereni sana, sikuona tarehe ya kikao, nami ntapenda kuhudhuria kikao kijacho, msinisahau
  6. M

    Nilichojifunza jukwaa hili... ni udanganyifu wa members

    Wakuu lazima tufahamu unapotaka kufanya biashara au jambo lolote la maendeleo tuepuke kuagiza mtu akufanyie tujaribu kujitosa wenyewe kama kweli tumeamua kufanya jambo kwa dhati. Hakuna uaminifu kwenye mambo ya pesa.... wanatapeliana ndugu sembuse humu Jf ambapo hata hatufahamiani!
  7. M

    Tazama: Said Fella ni mshamba Not In a Way - huyu ni mshamba Per sé

    Huyo ndo aliyeandika "happy birthday my son shamira" kwenye page yake ya insta.... Jamaa wakampa makavu sema daughter huyo ni mtoto wa kike akafuta fasta!!
  8. M

    Kabila la wanyakyusa

    Loli likonyofu ilindu ili mwee hui!!! Kangi bhatuleke bho tukeilekesya ni kya kukajha, ligha bhakakimanya ikya kumyabho bhitulike nkijhijha!!!
  9. M

    Msaada: Kilimo cha Matango, Utaalam na Masoko

    Ushauri mzuri lakini maduka mengi wanaweka watu wasiowataalamu. Kuna siku nilikuwa naulizia mbegu ya hoho nikaambiwa kuna mbili za bei tofauti nikamuuliza tofauti yake nini, muhudumu anasema hajui, sikuona sababu ya kuendelea kuuliza zaidi maana nilijua sitapata majibu sahihi
  10. M

    Ukweli kuhusu Dk.Nderakindo Kessy

    Sio wa chadema ni wa nccr mageuzi
  11. M

    Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

    Hawa watu wanapendana sana ndo mana wamebaki kila mmoja anaongea lake. Hamna kitu kigumu kuachana na mtu ambae bado unampenda. Wakae chini wamalize tofauti zao na waachane na mambo ya kuendekeza mashabiki. Wangekuwa wana akili wangetumia umaarufu wao kutengeneza pesa ndefu
Back
Top Bottom