KXY
JF-Expert Member
- Dec 31, 2011
- 880
- 327
Gunia la debe 10 hufikia mpaka zaidi ya laki.
Hiyo bei ya wapi mkuu na kiroba cha kilo 50 kwa wastani ni debe ngapi za matango?
Gunia la debe 10 hufikia mpaka zaidi ya laki.
Nakubaliana na Malila soko ni la uhakika ,ila msimu huu maana ndo tunavuna ,soko si zuri sana bei imeshuka mno kwa sehemu za pwani.
Poleni na majukumu wakuu wa jamvi hili maridhawa.
Naomba mwenye utaalamu juu ya kilimo cha matango anisaidie kujibu hoja zifuatazo:
1. Mbegu kiasi gani zinatosha heka moja.
2. Spacing yake kwenye upandaji ikoje?
3. Msimu mzuri wa kulima matango ni upi.
4. Mahitaji muhimu.
5. Wastani wa gharama za kulima heka moja.
6. Wastani wa mapato kwa heka moja.
Natanguliza shukrani za dhati kwa wote wakaochangia mawazo yao hapa. Ahsanteni sana.
Nawasilisha!
EDUARDO=naam napenda kukupa hongera ila vilevile nenda katafute daktari ktk maduka ya madawa yaliyopo karibu yenu ili wakupe ushauri bora/ KILA LA_KHERI MKUU..
EDUARDO=naam napenda kukupa hongera ila vilevile nenda katafute daktari ktk maduka ya madawa yaliyopo karibu yenu ili wakupe ushauri bora/ KILA LA_KHERI MKUU..
Poleni na majukumu wakuu wa jamvi hili maridhawa.
Naomba mwenye utaalamu juu ya kilimo cha matango anisaidie kujibu hoja zifuatazo:
1. Mbegu kiasi gani zinatosha heka moja.
2. Spacing yake kwenye upandaji ikoje?
3. Msimu mzuri wa kulima matango ni upi.
4. Mahitaji muhimu.
5. Wastani wa gharama za kulima heka moja.
6. Wastani wa mapato kwa heka moja.
Natanguliza shukrani za dhati kwa wote wakaochangia mawazo yao hapa. Ahsanteni sana.
Nawasilisha!
jamani wataalamu tusaidie gharama za uzalishaji na masoko kimahesabu
Gunia la debe 10 hufikia mpaka zaidi ya laki.
huku kwetu tunalima ndoo moja 8000-10000Ndugu zanguni naombeni msaada wenu tafadhali...... Kilimo cha matango gharama zake zipoje, kuanzia hatua ya kwanza mpaka hatua ya mwisho kwa ekari moja tu. Ukiachana na gharama za kukodi shamba kwani shamba nimeshapata tayari. Naheshimu mawazo yenu sana na naamini mtanipa mawazo yanayojenga, Na faida yake ipoje kwa ekari moja. Thnx in advance
Habari wakuu,naomba kusaidiwa kuhusu kilimo cha matango kwa wale wazoefu na wataalamu wa kilimo hiki naomba mchanganuo kuanzia mbegu nzur,jinsi kinavyolimwa mpaka kukua yaan kufikia kuvuna inachukua muda gan,pamoja na changamoto zinazojitokeza katika zao hili yaan naitaji kujua hatua zote muhimu za ulimaji wa zao hili pamoja na soko lipo? msaada waku nina eneo kubwa sana la bonde na mto mkubwa upo naitaji kuanzisha kilimo hichi.