wala ata usiumie,mi yalinitokea km yako na nilikua sijaanza ata chuo,sikutoa,nilizaa kababygirl kangu kana miaka mitano,yuko class one,alipoanza nursery ndo na mm nikapga shule,saiv nshamalza,nina kazi yangu,na babake ni mtu mwny ela bt mi nlikomaa nkamlea ivyoivyo kibish now tunakula tu gudtime...