Imeniuma sanaa!

Imeniuma sanaa!

Kongosho wala usishangae kuna wadada/wamama kibao hapa nchini ambao akilini mwao wameandika kua mtoto lazima alelewe na baba. Baba hana kipato kikubwa, mama ana kipato kikubwa lakini yuko radhi aache kumlipia mtoto wake shule inayoeleweka maana anategemea baba afanye. Mtoto anaweza kuchelewa kurudi shule kwa sababu baba hajapata pesa, wakati mama anayo na hatalipa, ukimuuliza atakuambia baba yake hajaleta school fees. Vituko kama hivi viko kibao na wanaona ni sawa. Hivyo sioni ajabu huyu kulialia hapa kua hataweza kulea mtoto mwenyewe. Wakati anafungua miguu bila precaution sijui alitegemea nini.


Mwanachuo mzima ushindwe lea katoto kamoja? Hivi wengine mmekulia wapi?
Naona ni mie tu nimekulia kwenye mikiki mikiki, huu umayai unatoka wapi?

Kwa hiyo unashawishika kutoa?
 
amri ya sita usizini
ya tano usiue na kutoa mimba ni kuua ila ww ndio wa kuamua "Nakushauri usitoe hata kwa kushurutishwa"
 
Habari wanaMMU,......

Nimekua nae kwenye mahusiano kwa muda wa miaka mitatu, nampenda na niliamini ananipenda pia.

Mwezi huu nimejigundua kuwa Nina ujauzito wake, niliopomwambia anadai nitoe kwa kisingizio kuwa mimi niko shule( niko chuo kikuu).

Nikamjibu sitaweza, akanambia sawa ila yeye hatakua anawajibika kwa chochote kwa kuwa hataki kuwa na mtoto aliyezaliwa nje ya ndoa
......naumia sana nikiwaza jinsi nilivyompenda na kumuamini, na sielewi ntalea vipi huyu mtoto bila ya baba yake

sasa kama anajua hilo nani alimtuma afanye uzinzi kabla hajaoa???? au nani alimwambia apige kavukavu wkt anajua matokeo yake???? watu wengine bana
Naamini ukisema na moyo wako utaweza tu.......mbona single mom wapo wengi tu,wanafight na wanaweza tena wanamafanikio makubwa tu..... huyo asiyemtaka sasa hv atamtafuta baadae amkose

hiivi dunia ya leo kuna wanaume bado wanafikiria hayo wkt siku hizi hata kupata mimba ya kusingiziwa ni ngekewa kwa wengine??????
 
hili ndio tatizo la jamii yetu...we dnt want to say the truth. kuzaa nje ya ndoa ni shameful thing and shuld be viewed that way. tumekuja ona kitu cha kawaida na ndio maana inaendelea kuwepo.

secondly huyo dada yako ni irresponsible....kuzaa azae yeye kulea walee grandparents....loh

so, atoe.....???
 
pole sana ndugu yangu wala usiitoe hiyo mimbakwani ukitoa utakuwa umeingia kwenye dhambi ya uuaji hivyo lea hiyo mimba zaa mtoto wako kisha umtunze kwani ndo matokeo yake hayo bestito lazima uyachukulie tuu
Habari wanaMMU,......

Nimekua nae kwenye mahusiano kwa muda wa miaka mitatu, nampenda na niliamini ananipenda pia.

Mwezi huu nimejigundua kuwa Nina ujauzito wake, niliopomwambia anadai nitoe kwa kisingizio kuwa mimi niko shule( niko chuo kikuu).

Nikamjibu sitaweza, akanambia sawa ila yeye hatakua anawajibika kwa chochote kwa kuwa hataki kuwa na mtoto aliyezaliwa nje ya ndoa
......naumia sana nikiwaza jinsi nilivyompenda na kumuamini, na sielewi ntalea vipi huyu mtoto bila ya baba yake
 
Mungu amekubariki with a chance ya kuitwa mama kwanini ukatae?usitoe mimba na endelea na maisha... its not going to be as hard as u think....ninavyopenda watoto halafu mtu anakataa wa kwake inaniudhi sana
 
Binafsi nimemwelewa sana Kongosho kwa ushauri wake
 
Acha kujilemaza…mimi nimeanza kusoma mtoto wangu akiwa na miezi 7 na sasa nshamaliza inshallah…na sijapata msaada wa mtu yoyote kwasababu babaake hahusiki kwenye lolote kwa hali wala kwa mali….kwahio kama wewe unataka kuzaa zaa na kama unataka kutoa utoe kwa ridhaa yako….
 
yaani utafkiri uliwaza kichwan mwangu..............
ivi aanchoumia ni nini?? a collage stdnt ambaye hawez hata kujiamulia ya kwake??

yu me hii ingekuwa ndo tiket yan kujua huyu sio mtu sahihi, na hapo ningemwambia go to hell buddy..........maisha bado yapoO

namkumbuka my best friend Eva alipata kisa kakma hiki tena kwa mwanaume ambaye alikuwa ni mchumba wa muda mrefu. mvulana alipojitia tu toa Eva akamwambia mimi sitoi ila ya kwako katoe............leo hii naandika hapa mwane anasoma Ubungo islamic na ni kichwa vibaya mno yule mvulana hamjui kwa chumvi wala sukari na kadada kanafanya kazi bandari na ela chafu.

bahati nzuri akampata aliye wake wa ukweli akamuoa na sasa mtoto anaish yerusalemu, kale kavulana kameishia kusaka watoto mpaka leo hakajapata na kila siku anajuta eti mke wangu alipaswa awe fulan.

acha kujiendekeza jipange mama ukiskia umama ndo huo tenba bora kakuambia mapema kuliko angesubiri uko kwenye emza ya kujifungulia unaskia kaoa
.

Sina cha kuongeza mamy umemaliza kila kitu kama wakuelewa ataelewa tu
 
wala ata usiumie,mi yalinitokea km yako na nilikua sijaanza ata chuo,sikutoa,nilizaa kababygirl kangu kana miaka mitano,yuko class one,alipoanza nursery ndo na mm nikapga shule,saiv nshamalza,nina kazi yangu,na babake ni mtu mwny ela bt mi nlikomaa nkamlea ivyoivyo kibish now tunakula tu gudtime na mrembo wangu,ye amebak tu kusema tusameane yaishe,mara shetan alimpitia,sa sijui alimptia waende wapi,gangamala mwanamke,mtoto ni zawadi ktoka kwa mungu,plz zaa,utaona faida ya uyo mtt,am proud to be a mother eti.
 
chuo kikuu uko matured sana ujue asa hizi habar za kuumia kwa majibu alitoa huyo kijana aiseee sio level zako kabisa yan hivyo angelalamika mtu wa o level vilee!!!!! by ze wi tulia leo mtoto ndugu wala usijar na akiwa zaliwa mtoto wa kike ahahahahaaa kuna mume wake huku ahahahahaaa usijareeeeeeeee bana kwani nini lea mimba mama maisha yanaendelea mungu ni mwema
 
Pole bidada, usiwaze namna ya kumlea mtoto. Automatically utapoteza mwelekeo wa maisha, ukijifungua salama utaona jinsi atakavyolelewa vizuri kushinda hata wanaopata malezi ya baba zao.
 
Kama ulitembea mguu pande na wewe inabidi uilee hyo mimba
 
Here we go again!! Anyway tafuta kuna manyuzi kibao humu yana maudhui kama yako. Inaonekana watu hawatojifunza kamwe.
 
Back
Top Bottom