data
JF-Expert Member
- Apr 9, 2011
- 26,149
- 22,725
Thanks you made my night stress free in my mind now.
G9t
...that is sooo lovely...affectionatelly..soothing...smooth n heart touching... DA
Thanks you made my night stress free in my mind now.
G9t
Akilala na mama yake inahuu nini ....mi wakat niko A-level nilipangiwa shule y mkoa anaoish dada yangu.nilikua nalala na dada yangu tena kitanda ki1 coz alikua anachumba hicho kimoja na niliku safe kabisa ht nilikua sihisi chochote ....hakuna m2 anaependa hali hiyo ht mimi nilikua cfurahii ila unakua huna la kufanya .....yacyokuhuu achana nayo.ngoja niombe kw invisible ruhusa y kuku2kana ntrudi.
Bwana Yesuuuuuu utarudi lini???????????
Jaman huyu jamaa ni rafk yang wa karibu umri wak ni miak 26.alinishangaz aliponambia jan kua analala chumb kimoj na mama yak,nilikosa cha kumwambia kwsabb niliona ni maajab.jaman nipeni ushaul nimshaulije mwenzang aweze kuhama?au unahis kuna nn hapo?