Recent content by malundatz255

  1. M

    Usiyotakiwa kuuliza wala kuhoji kwenye hili janga la Tundu Lissu(Wasiyopenda kuyasikia viongozi wa CHADEMA)

    Hebu tuambie unataka tuamini kipi au wewe unaamini nini kwamba wanatumia ugonjwa lissu kupiga pesa au story nzima imepangwa au ni kipi unachotaka kutuaminisha?
  2. M

    Napokea order za ice cream

    Hapo kwenye picha ni ujazo gani huo? Sent using Jamii Forums mobile app
  3. M

    Kwa hili nawadharau wanawake, japo si wote

    Sema uliomba picha upate stimu ya kupuchuka tu. Sent using Jamii Forums mobile app
  4. M

    Ningekuwa mwanamke ndani ya mwaka mmoja ningefanya haya?

    Fanya tu maamuzi yaliyo tukuka kijana inawezekana sana tu. Kila kitu simple under K.Y gel Sent using Jamii Forums mobile app
  5. M

    Mikasa ya Kutisha,vituko,visa na vioja miaka ile tunasafiri wiki moja Dar-Mwanza. Siku 3 Dar-Singida

    Noma sana mkuu unakuta gari imejazs kishenzi full kusimama kwenye tiketi ilikuwa ukiandikiwa K.K maana yake kusimama mpaka kufika yaani ilikuwa ikitokea mmesafiri siku tatu au nne kutoka lindi to dar basi dereva anapigiwa makofi kwa kazi nzuri
  6. M

    Mikasa ya Kutisha,vituko,visa na vioja miaka ile tunasafiri wiki moja Dar-Mwanza. Siku 3 Dar-Singida

    Nakumbuka miaka ya nyuma hivi tumatoka zetu lindi kuja dar tulilala njiani siku tisa yaani mpaka tulizoweana wote kwenye hilo gari tukawa tunapika pamoja kila mtu anachangia alichonacho kinatolewa kitu cku zinaenda nakumbuka tilikuwa tumebeba nazi na madafu kama zawadi zote tulizimaliza njiani...
  7. M

    Makonda kubadili jeshi la polisi kwenda kisasa katika kukabiliana na uhalifu

    Sijaelewa hapo yaani magari mabovu yanatolewa hapa yanaenda kutengenezwa wapi?
  8. M

    Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

    Bro nimekuwa nafwatilia huu uzi kwa makini sana ningependa niwe miongoni mwa hyo first batch ili nipate nafasi ya kujifunza zaidi na kuielewa forex .
  9. M

    Rais Magufuli atweet asubuhi hii kuhusu Mradi mkubwa

    Hapo tutamiliki tu hilo bomba tusipokuwa makini.
  10. M

    Tecno W 4

    Shop miezi mitatu iliyopita ilikuwa mpaka 165 unapata sasa hivi itakuwa chini ya hapo.
  11. M

    Baada ya Magufuli, 2025 Makonda atatufaa sana kwasababu ana uthubutu kuliko hata JPM!

    Kwahyo kwa akili zako wewe hizi pumba ulizoandika kwako wewe ndo sifa za mtu ambaye anaweza kuwa raisi wa inch yetu..
  12. M

    Baada ya Magufuli, 2025 Makonda atatufaa sana kwasababu ana uthubutu kuliko hata JPM!

    Kumbe omba omba pia ni uchafu!!! Duh nina mashaka na akili zako.
  13. M

    Nini hatma ya TCU baada ya kauli ya Rais Magufuli?

    Kwa uelewa wangu mimi tcu kazi yao ilikuwa ni ku allocate wanafunzi kwenye vyuo walivyoomba according to thier cut off points.
Back
Top Bottom