Rais Magufuli atweet asubuhi hii kuhusu Mradi mkubwa

Baada ya kupiga kona pale Chato kwanini isinyoke kwenda Shinyanga moja kwa moja Tanga badala ya kushuka chini then ikarudi juu tena

Mkuu;
Ni wazo zuri sana lakini, tatizo ni kuwa laweza kupitia karibu na upinzani na huku ni kuliweka kwenye majaribu. Hata ingewezekani tungelitumia bandari ya Kilwa. Weka mbali na watoto.
 
yaani kila anachofanya JPM kinaonekana hakijawahi kufanywa tangu Tanganyika ipate uhuru 1961. kuna mambo ambayo yako sooooo obvious and i dont give a damn single credit. hata rais awe mchovu vipi kuna mambo atafanikiwa kuyafanya.
 
Hii imetoka wapi mkuu ama hatujaenelewana???? Kama ningembishia duduzi si ningeandika katika comment yake? Kaangalie vizuri nilipojibu kabla hujanitwiza lawama zisizonihusu kaka.


Samahani Mkuu kama nimetafsiri tofauti pale ulipo ninukuu, na pale nilipokunukuu
 
Hivi inawezekana ndicho hasa kiini cha bandari ya Bagamoyo eee!! Kumbe JK aliona mbali sana!! Dah huyu jamaa anachekacheka ila zimo za kijanja aisee. Naona Ngosha baada ya kuusitisha mradi wa bandari ya Bagamoyo na bomba la mafuta imebidi lipande mlima kwenda Tanga.

Dah ka-JK kanawazaga ya keshokutwa kuwa leo... haya banah
 
Ktk hili tuko pamoja Baba. Nyang'au bado haamin kama tulimyang'anya tonge mdomoni.
 
Pia naona limepiga kona kimtindo pale Chato ili tuvibanda vyetu sisi watoto wa mtukufu vilipiwe fidia kubwa kubwa tujenge majumba ya kisasa ili milio ya Boeng 777 isije ikavipasua... Si unajua tena ujio wa jiji lipya la Chato???
 
Ingekuwa ishu ni mkataba TMAA isingevunjwa ,Muhongo asingefukuzwa

Tatizo ni udanganyifu wa takwimu ,TMAA walisema kwenye kila container kuna 4kg ya dhahabu tu huku tume ikisema ni 28 kg hivyo 24kg inakuwa loss na itauzwa bila ya kodi kukatwa

Ni uzembe wa hali ya juu aidha kwa kujua/kushirikiana au kwa kutojua/uzembe
Mkuu kuwa objective. Mkataba uliosainiwa unaonesha ni 4kg. Prof Muhongo alishalalamika kuwa kuna tatizo la Wanasheria pale Wizarani kwa kushindwa kutafsiri sheria vizuri.
TMAA, CEO wake ni mtuele wa Rais na ni tasisi inayojitegemea. Waziri angefanyaje kuhusiana na hilo? Amfukuze kazi CEO wa TMAA kwa kutoa takwimu za uongo? Ni chombo kipi kinatakiwa kuhakiki hizo takwimu? Pia ukumbuke mikataba hiyo au taratibu hizo zilikuwepo tangu 1998. Leo Muhongo aonekane amekosea? JK alijaribu akashindwa kubadili mikataba inayotoa mianya hiyo ya kufanyika. Kama Mhe Tundu Antipas Lissu alivyosema issue siyo kumfanya mtu mmoja kafara. Huu ni mlolongo wa watu wengi waliohusika na wanaohusika. Ni vyema sheria zibadilishwe kwanza halafu Waziri anakuwa na,hadidu za rejea. Angaliza ACACIA wamesema wanahitaji mchunguzi mwingine ili taarifa isiengemee upande mmoja. Vipi kama vipimo vya pili vitaonesha viwango tofauti na vilivyotolewa na Tume? Ili utafiti uwe conclusive watafiti zaidi ya watatu wanatakiwa kuhusika
 
Mkuu kuwa objective. Mkataba uliosainiwa unaonesha ni 4kg. Prof Muhongo alishalalamika kuwa kuna tatizo la Wanasheria pale Wizarani kwa kushindwa kutafsiri sheria vizuri.
TMAA, CEO wake ni mtuele wa Rais na ni tasisi inayojitegemea. Waziri angefanyaje kuhusiana na hilo? Amfukuze kazi CEO wa TMAA kwa kutoa takwimu za uongo? Ni chombo kipi kinatakiwa kuhakiki hizo takwimu? Pia ukumbuke mikataba hiyo au taratibu hizo zilikuwepo tangu 1998. Leo Muhongo aonekane amekosea? JK alijaribu akashindwa kubadili mikataba inayotoa mianya hiyo ya kufanyika. Kama Mhe Tundu Antipas Lissu alivyosema issue siyo kumfanya mtu mmoja kafara. Huu ni mlolongo wa watu wengi waliohusika na wanaohusika. Ni vyema sheria zibadilishwe kwanza halafu Waziri anakuwa na,hadidu za rejea. Angaliza ACACIA wamesema wanahitaji mchunguzi mwingine ili taarifa isiengemee upande mmoja. Vipi kama vipimo vya pili vitaonesha viwango tofauti na vilivyotolewa na Tume? Ili utafiti uwe conclusive watafiti zaidi ya watatu wanatakiwa kuhusika
mkuu mbona unajichanganya! Mkataba umeandikwa kwamba TMAA watapima kila mchanga unaosafirishwa na kutoa concentration ya madini yaliyomo ili mrabaha ulipwe. sasa hiyo habari ya 4kg unaitoa wapi mkuu?? ingekuwa hivo kusingekuwa na sababu ya TMAA kuchukua sampuli kwa kila batch ya mchanga.

nakubaliana na wewe kwamba CEO wa TMAA ni mteule wa raisi na anapaswa kuwajibika kwa makosa yake ya kutoa concentration za uongo (kama kweli majibu ya tume ni sahihi), hata bila kumhusisha prof muhongo.

Lakin usitulishe matango poli eti mkataba umesainiwa kwamba kuna 4kg za dhahabu kila contena, huo ni uongo wa kiwango cha lami.
 
24 Reactions
Reply
Back
Top Bottom