Mke na Mme ni sawa kabisa kuangalia mkiwa guru kabisa,lakini sio kuweks ratiba ya kupekua pekua sio sign nzuri kwa wanandoa kwani inaonyesha hamuaminiani ktk mahusiano yenu ya ndoa
Pete ni perception tu,lakini Hainan chochote inachoweza kufanya,muhimu ni moyo wa MTU mwenyewe,na si vinginevyo.Wengi huvaa Pete kwa mtindo ili tu waone tu kwamba name we we Uko kwenye taasisi ya ndoa
Aliyevaa Pete na asiyevaa wote sawa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.