Newtongift
Member
- Feb 21, 2014
- 93
- 5
Kuwa jasiri ndugu! pekua ili kujua mstakabari husika ili uweze kusuka au kunyoa kabla ya mabo kuharibika. Vunja ukimya zungumza na mwenzio. Kuwa makini katika hilo
kuangalia kama ana michepuko
Kwa mume na mke usahihi upo kabisa kwa ndoa yenye amani na upendo hakuna wasiwasi....
Ila kwa wachumba inategemea na misingi ya penzi leo na malengo yenu ya baadaye...
Kwa boyfrend na girlfriend siyo sahihi maana bado mapema sana lakin sio mbaya kama wataaminiana...
hapana
sina mtu ambae anaweza kunioa mpaka sasa juu ya hili swala
HIVI TUNASHEAR MAJIMAJI YA MWILINI IWE SIMU????
da sitakaa nisahau nilishika cm ya aliekua mchumba wangu nilitukanwa hakuna mfano.
naambiwa cm ina siri nzito sitakiwi kuigusa na hakuna mwanamke yeyote yule atakaekuja kushika cm ile.. dah nilitukanwa sitakuja kusahau mungu amsaidie tu huko aliko.
ajabu kubwa.....mi ntapekua tu.sirini na hadharani
Khaaa! Japo kuna ukweli, simu nini bana..! Watu wanashare "ute ute" iwe simu bana!!
..duuh, sasa huyo mchumba mliachana wakati ashajulikana na kufanya kila zote au ni uchumba wa 'darisalama'?
Halaf ukikuta anayo?
Wadau naombeni mnisaidie, hivi ni sahihi kwa mwanaume/mwanamke kupekua cm ya mke/mume, girlfriend/boyfriend, mchumba wake? :sleepy:
Mimi naona Ni fahari kubwa na Ni kitu cha kujivunia kupekua cm ya mkw wangu na yeye yuko huru kuangalia yangu. Kwa nini ujifiche huko Ni kukosa uaminifu na mapendo kwa familiar yako
Aongee naye kwa upendo, ampe anachokitafuta huko mchepukoni
Ww ndio unafanyaga hivyo?
kuangalia kama ana michepuko
Usiishi kwa matumaini ...