Recent content by malkiamrembo

  1. malkiamrembo

    Msaada Machine ya Samsung S6 Galaxy

    Wakuu habari kuna simu ya Samsung Galaxy S6 machine imesumbua nauliza nawezaje kuipata machine nikafanya replacement? Na huwa zinauzwaje? Asante. s6 galaxy 20A
  2. malkiamrembo

    Leo nimepata bahati ya kula jimama zuri wandugu

    Pole sasa kwa kulala na mama yako.
  3. malkiamrembo

    Wanafunzi wa kike kushinda stand mpaka usiku nini hatima yake?

    Ndugu zangu hebu tujadili jambo hili kidogo mm ninapata wasiwasi na hawa mabint wa shule jibsi wanavyoshinda stand na kushikana shikana hovyo karibia ktk stand nyingi za hapa dsm, mbezi l, tabata, chanika,buguruni,kawe n.k Je? Hawa watoto hawana mambo mengine zaidi ya kusubiria tuu daladala?
  4. malkiamrembo

    Watoto wa kike kujaa stand za daladala kuna usalama?

    Habari ndugu zangu, hawa watoto wa shule kwa idadi yao hii ilivuokubwa na tena wengi ni wa kike hapa kuna usalama kweli? Maana naona wamejaa stand sana karibuni stand zote za hapa dsm wamejaa sana nina mashaka kama hawatakuwa na njemba hawa. Maana naona wengine wanatembea na nguo za kubadilisha...
  5. malkiamrembo

    Mbwana Samatta atajwa kuwa ni mkenya

    Watanzania habari zenu hii habari mm imenigusa sana, Captain wa timu ya Taifa #TaifaStars na mshambuliaji tegemeo wa Club ya Genk ya kule Belgium na mtoto wa Mbagala Dsm, kuripotiwa na vyombo vya nje kuwa ni Mkenya hii #Tff mnayo habari? Na Je? Kwenye habari kama hizi tff mnachukua uamuzi gani...
  6. malkiamrembo

    Mbowe apokelewa kishujaa Lindi

    Walisha poteza 2015 hawatapata tena kura mil.6 kama zile kwa Lowassa
  7. malkiamrembo

    Kero: Msemaji wa timu ya Yanga hatufai

    Mkuu mbona hata kwenye yale ya msingi kama Kuhamasisha mashabiki kuhusu michango na kufika uwanjani na kutoa updates za wachezaji tetesi za migomo na mambo yahusuyo Club hatumuoni akiwa mbele mbele. Huwezi amini %kubwa yetu wa Yanga hatupati taarifa kutoka kwake. Hakuna updates zozote za...
  8. malkiamrembo

    Kero: Msemaji wa timu ya Yanga hatufai

    Mkuu usifananishe timu za ulaya na ujinga wa hapa,geographical location na background ni tofauti sana
  9. malkiamrembo

    Mjadala: Je biashara ya uchangudoa ihalalishwe?

    Kaka yangu nazani itakuwa ngumu kwa sababu italazimika ktk vipimo wauza ngono watambulike kitu ambacho hakiwezekani yaani huwabwanajificha sana sasa ikiwekwa wazi hawawezi kushiriki. Ila cha ajabu biashara hii ilikuwepo kabla hata Bwana Yesu hajazaliwa na akafa msalabani akaiacha yaani mizizi ya...
  10. malkiamrembo

    Kero: Msemaji wa timu ya Yanga hatufai

    Acha utabi mkuu Zahera ni moja kati ya waalimu bora kabisa acha kututania
  11. malkiamrembo

    Kero: Msemaji wa timu ya Yanga hatufai

    Hakuna cha usomi wowote wasituletee uongo msemaji ga i bunu yupo kimya kama ningekuwa na uwezo mm ningependekeza Apewe Official Mwalubadu
  12. malkiamrembo

    Kero: Msemaji wa timu ya Yanga hatufai

    Dismas hatufai ndugu zangu mashabiki wa Yanga tumekuwa qakiwa sana mpaka tunaanza kumkumbuka Jerry Muro
Back
Top Bottom