Kwa mtaji wa wajinga ndio waliwao , ha ha ha magu katisha mbeya na raisi wenu sugu kamfagilia Magu,anko Magu fukuza mjini hao wakimbilie maporini , na hivi wameanza kuelekea msumbiji.Leo hiyo mtazame Mbowe kwanza wacha kuweweseka
Kwa mtaji wa wajinga ndio waliwao , ha ha ha magu katisha mbeya na raisi wenu sugu kamfagilia Magu,anko Magu fukuza mjini hao wakimbilie maporini , na hivi wameanza kuelekea msumbiji.Leo hiyo mtazame Mbowe kwanza wacha kuweweseka
Mbeya cdmchaliii, mnaanza kukimbilia msumbijiLike father like son
Mbeya cdmchaliii, mnaanza kukimbilia msumbiji
Mungu aendelee kuilaani chadema.Ushabugia kimpumu huoni
Mmerogwa mnaoelekea msumbiji.na huyo mamba pori mtakutananae mnapovuka mto kuingia msumbiji.Naona umerogwa wewe mamba pori
Mmerogwa mnaoelekea msumbiji.na huyo mamba pori mtakutananae mnapovuka mto kuingia msumbiji.
Labda kama mungu ni babu yakoMungu aendelee kuilaani chadema.
Mbona mnaelekea msumbiji ? Mbeya vipi ? Chadema challiiHiki Chama Hakiwezi kuuliwa na Watawala wenye Akili ndogo kama hawa wanaotutawala sasa, CHADEMA tupo Imara sana sasa kuliko hata hapo awali, Hawa mazuzu wanajichanganya na kujidanganya kutokana na kukosa fikla na uelewa mdogo.
Kuna MAFURIKO, hakuna MAFULIKO.Sasa hapo kuna mafuliko au?
Huyo nae ni binadamu , chama cha mapinduzi ni cha watu wote na wanyonge ,halafu ni mkwe wako kakuzalia mke wako, hivyo mheshimu mkweo. sio kama chadema chaa mafisadi , meshentown , ma dj .Kwenye ubora wakoView attachment 1085319
Alipataje kibali cha kufanya mkutano kama huu wakati si mbunge was huko? Nadhani hii ni wakati wa enzi huru.Kuna watu wanasema CHADEMA imekufa
Duh sijui wanatumia kipimo gani tena hawa ni wanawake watu watasema wanywa viroba
Aya waiteni mama zenu sasa wanywa virobaView attachment 1084969View attachment 1084970View attachment 1084971View attachment 1084972