malkiamrembo
JF-Expert Member
- Mar 29, 2015
- 386
- 231
Watanzania habari zenu hii habari mm imenigusa sana, Captain wa timu ya Taifa #TaifaStars na mshambuliaji tegemeo wa Club ya Genk ya kule Belgium na mtoto wa Mbagala Dsm, kuripotiwa na vyombo vya nje kuwa ni Mkenya hii #Tff mnayo habari?
Na Je? Kwenye habari kama hizi tff mnachukua uamuzi gani au mnafanya nini?
Juzi timu ya Captain @Samagoal77 imechukua Ubingwa wa ligi ya Belgium Je? TFF mmetoa salamu za pongezi zozote kwa Club ya soka ya Genk? Kwa sababu tuna mahusiano nao kupitia Captain na mchezaji Mbwana Samatta.
WATANZANI TUAMKE KUNA SIKU TUTASIKIA Nchi ya Tanzania tumeikopa Kenya Mlima kilimanjaro na Mbuga za wanyama tumekopeshwa .
Na Je? Kwenye habari kama hizi tff mnachukua uamuzi gani au mnafanya nini?
Juzi timu ya Captain @Samagoal77 imechukua Ubingwa wa ligi ya Belgium Je? TFF mmetoa salamu za pongezi zozote kwa Club ya soka ya Genk? Kwa sababu tuna mahusiano nao kupitia Captain na mchezaji Mbwana Samatta.
WATANZANI TUAMKE KUNA SIKU TUTASIKIA Nchi ya Tanzania tumeikopa Kenya Mlima kilimanjaro na Mbuga za wanyama tumekopeshwa .