Recent content by Malkia wa Sheba

  1. Malkia wa Sheba

    Mke wangu ananilazimisha kulala bila nguo

    Mimi nataka kulala na wewe na usivae chochote hizo hasira zako nitazimaliza iliandikwa Enendeni mkaujaze ulimwengu sasa bila kufundishana tungeongezeka bila kuvua nguo tungeongezeka? ukilala na magunia yanayowasha tungeongezeka
  2. Malkia wa Sheba

    Mke wangu ananilazimisha kulala bila nguo

    Du ungemuelezea jinsi jirani yako alivyotoka usiku na taulo mkononi kisa fataki na alilala UCHI
  3. Malkia wa Sheba

    Usithubutu Kumpoteza Mwanamke/mpenzi Wa Kinyakyusa

    Ngoja arudi kwao kwa shughuli yeyote, atakavyoachia mm ni mashoga zangu lakini kwa kugawa hawasiti hasa kwa MaB/F wao wa zamani
  4. Malkia wa Sheba

    Kim Jong-un kidume cha mbeg.....

    Kweli Maisha ni magumu sana Korea Kaskazini Hawa ndio waliojenga Jengo la Chimwaga kule Dodoma Jinsi walivyochoka huwezi amini mpaka wakasingizia ni Wafungwa Lakini Mabosi wao walipewa nyumba Area C Dodoma na Dreva wao alikuwa mjomba wangu alinisimulia Chakula chao, Du ni matatizo hakina tofauti...
  5. Malkia wa Sheba

    Tunalala tu uchi lakini!

    Yule Bint wa Baba mwenye nyumba waliyejusingizia naye alitoka na nini? au kalala tena Nje na kurudi akichechemea FIX
  6. Malkia wa Sheba

    Wanawake wengi wamekuwa limbukeni wa social networks - pia baadhi ya wanaume

    hajakua uyo ngoja apate Mume na watoto km wa3 ataitupa hiyo simu maana kufua Nepi na kuwapikia watoto na House girl bado mume huwezi shinda humo Pia umri unaweza weka picha zako tu za zamani na maBoy friend wakaanza jisifia mbona utatoka mwenyewe!!!!!!
  7. Malkia wa Sheba

    Yaliyonikuta Maisha Club, Dodoma

    Labda ni kushauri ww mwanaume thread hii umeileta ww mwenyewe na huu Ukumbi tunauingia tufikapo Dodoma. Hauna FUJO unazozitaja Bado ukashauriwa uende POLISI hukwenda Ukashauriwa na Ukwaju basi ufike Maisha Club kwa Uongozi huyo Mtu achukuliwe hatua hukwenda ila una Taaluma ya Kuadhibu kwanini...
  8. Malkia wa Sheba

    Siri nzito ya 'muccob's" hii hapa.

    Wajina hata mimi sijui nimpe Ukwaju nini maana katufungua hasa na km kweli alipitia hapo MuccoBs na anadai chuo hicho kimemezwa na sokoine angaetupatia Ranking kwa tanzania tukione kilipo
  9. Malkia wa Sheba

    Wajumbe wa Bunge Maalum wasusia Bunge

    Kibogo upo sahihi kabisa hata mm nakubaliana nawe hapo iwe ZOMEAZOMEA tu mpaka watakapochoka na kuliahirisha bunge au kulivunja kabisa maana hii ni kulazimishana Wazanzibar wanataka Nchi yao sisi Tanganyika hatutaki no aibu ya nini tunaogopa? Kama Mume shamba linakushinda si uwaache wenzio...
  10. Malkia wa Sheba

    Akina mama na matusi kwa watoto wao

    Du Kaka umnikumbusha Karucee wangu leo kaja kivingine kabisa maana kawa mpole na kutukanya kabisa leo hana Hang-Over Nakumbuka story zake za kuwa Konda wa Daladala au ile ya mjamaa kuupanda mnazi kule beach kwa ajili ya NDUMU acha mchezo km unatumia kuna ma2 ikupande uwatukane mpaka wanao au...
  11. Malkia wa Sheba

    Akina mama na matusi kwa watoto wao

    nakubaliana na wewe ila kuna sisi wa uswahilini hata hiyo gari au kusomesha wototo hakuna ila ni Mama Lishe aua muuza Genge la Samaki. Chanzo ni hao watoto kwanini tunazaa wengi km ulishabugi na mume wa kwanza akaja wa pili makosa ni ya nani? Kumtukana Mwanangu matusi mazito mbele ya kadamnasi...
  12. Malkia wa Sheba

    Siri nzito ya 'muccob's" hii hapa.

    Mandela nakusifu kwa hapo tu maana umemkaushia vizuri huyo mwanachuo mwenzako na mwenzetu (mm nimetoka pale na km 2004 Kitendo cha kumtukana qn of sheba wajina wangu ni sawa na mama yake tu kwani jibu alilopewa na shoga yangu ni bado kwanza lugha aliyotumia sijui ni slung au Common tense...
  13. Malkia wa Sheba

    Siri nzito ya 'muccob's" hii hapa.

    hebu pima kiakili tu una Div 1 Muccobs wanakuita? ni Direct Vyuo vyake vipo na vinakusubiri Mimi nimesoma pale MUCCOBS wakati huo mambo ya Ushirika yanakufa ndio kina Chambo wakaona wajiunge na Sokoine kwa ajili ya fani yao ya Ushirika la sivyo kingekosa mwelekeo km hivi kinapokwenda namnukuu...
  14. Malkia wa Sheba

    Nyumba inauzwa Brbr ya 12 Dodoma

    Kweli kabisa hii nyumba ni ya tope na hapo ni mtu kununua Kiwanja tu ili ujenge ghorofa wangechukua 250 sio 400,000,000/
  15. Malkia wa Sheba

    Kuelekea 2015: Tunaomba Daftari la wapiga kura lirekebishwe!

    ukichanganya na sura yako ni kweli una chuki na CCM ndio maana unawaita majangili kwanza uko Out of Topic pili una chuki ambazo ni ndoto ni vigumu kuiondoa CCM kwa kuwaweka Mapadri na wachezesha madisco mjipange tena RUDI KWENYE THREAD
Back
Top Bottom