Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 77,117
- 165,383
Anakulazimisha na we hupendi, ni heri umuache urudi kwenu make lazma atakuja akubake tu....
umelazimishwa kuchangia tuheshimiane plz
Du ungemuelezea jinsi jirani yako alivyotoka usiku na taulo mkononi kisa fataki na alilala UCHIKazi unayo nitafute kwa ushauri zaidi
Pumabvu kabisa, mitoto ya siku laanifu ajabu sijapata ona, ndio ujinaga gani huu unaandika hjapa jukwaani? Mkeo au malaya wako? shenzi kabisa uwe na adabu kijana na chagua vitu vya kuandika sio kila ujinga ni wa kuelezea kwa watu, sasa ulitaka sisi tuje kukuvua hizo nguo? mlete mkeo huku tutalala nae uchi....umenikera sana sana, ndio mnashushia hadhi JF nyie, gegedo gegedo, gegedo kitu gani bhana? hebu tulia please tunatafakari mambo ya msingi
Ohhohhhooooooooo nilidhani nimesaidia kuzima moto kumbe ndio nimechopchea, haya njoo tulale basi, nisemeje sasa! DahMimi nataka kulala na wewe na usivae chochote hizo hasira zako nitazimaliza
iliandikwa Enendeni mkaujaze ulimwengu
sasa bila kufundishana tungeongezeka
bila kuvua nguo tungeongezeka?
ukilala na magunia yanayowasha tungeongezeka
------- kabisa, mitoto ya siku laanifu ajabu sijapata ona, ndio ujinga gani huu unaandika hapa jukwaani? Mkeo au malaya wako? shenzi kabisa uwe na adabu kijana na chagua vitu vya kuandika sio kila ujinga ni wa kuelezea kwa watu, sasa ulitaka sisi tuje kukuvua hizo nguo? mlete mkeo huku tutalala nae uchi....umenikera sana sana, ndio mnashushia hadhi JF nyie, gegedo gegedo, gegedo kitu gani bhana? hebu tulia please tunatafakari mambo ya msingi
jaman mwenzenu hata cjui nfanyaje mana huku tulipo ni baridi lakini nkilala na boksa tu kosa.yeye anataka tulale uchi alafu gegedo langu liwe ndani ya papuchi yake mpaka asubuhi
Nisamehe Mpwa please, nisamehe nimejisemea tuumelazimishwa kuchangia tuheshimiane plz
Ni Lini Vijana wenye nguvu watakaa na kutafakari au kuandika mada zenye changamoto kwa fate ya taifa letu? kama kila saa tunawaza chini tu chini kuanzia asubuhi hadi jioni mtu anawaza ngono tuuuuu ni lini tutapiga hatua? Haiwezekani kabisa......Mpwa ndio maana mambo ya msingi tunaburzwa kwa kuwa vijana wenyewe ndio hawa.
jaman mwenzenu hata cjui nfanyaje mana huku tulipo ni baridi lakini nkilala na boksa tu kosa.yeye anataka tulale uchi alafu gegedo langu liwe ndani ya papuchi yake mpaka asubuhi
jana ilipotimu sita kamili usiku fataki zikaanza kupigwa mnazi mmoja kila mmoja alifikiri lake jirani yangu ambaye kwa vyovyote alikuwa usingizini na akiota ndoto mbaya alikurupuka mpaka nje uchi kabisa huku kashikilia taulo mkononi, dakika mbili hv alipata fahamu na kujifunga taulo lake huku akiuliza kuna nini? Najua fika wanandoa wengi na wapenzi wanalala uchi hasa huku kwenye joto lakini jamani ukumbuke kuna dharura za usiku hivyo bukta, mapajyama na nite dress visicheze mbali na kitanda, ili likitokea la kutokea usipate shida