Recent content by Malimi Jr

  1. Malimi Jr

    KERO Mfumo wa maombi Postgraduate UDOM una shida gani? UDOM rekebisheni huo mfumo

    Mkuu tiego nakushauri kama unataka umalize masomo yako kwa wakati na bila usumbufu, usiombe vyuo vya serikali, omba vya private. Usiniulize kwa nini wewe ukipuuzia just do for your own risk. Nakuhakikishia kama utaipuuzia komenti hii kwa sasa ipo siku utaielewa na itakuwa too late!
  2. Malimi Jr

    Simulizi ya kipelelezi: Idaiwe maiti yangu

    23:34 FEBIANI BABUYA Sent from my ZTE T1002 using JamiiForums mobile app
  3. Malimi Jr

    Mahafali ya Chuo Kikuu cha Saut Kufanyika Leo

    Hongera mkuu kwa kusoma vyuo vya makeup. Sent from my ZTE T1002 using JamiiForums mobile app
  4. Malimi Jr

    Nini ufanye kama mtu uliye naye kafariki ghafla?

    Ni simple tu. Nenda kituo cha polisi kilicho karibu nawe watakupa msaada. Sent from my ZTE T1002 using JamiiForums mobile app
  5. Malimi Jr

    Nimejifunza pakubwa kuhusu elimu ya fedha baada ya jamaa yangu kuchukua mkopo wa Milioni 10 kazini kwake ili anunue gari

    Yaani mtu ajenge nyumba halafu useme ametumia mkopo kwenye vitu visivyo na faida? Anyway siwezi kukulaumu sana maana inawezekana unaishi maeneo ya ndanindani huko ambako thamani ya nyumba haionekani ila kwa mtu aliyepo kwenye miji iliyochangamka hawezi kutamka hii kauli nyumba eti ni matumizi...
  6. Malimi Jr

    Nimejifunza pakubwa kuhusu elimu ya fedha baada ya jamaa yangu kuchukua mkopo wa Milioni 10 kazini kwake ili anunue gari

    Umeulizwa swali moja zuri sana. Kuna mwalimu mkuu mmoja alikuwa na notion kama ya huyu mwamba hakuwahi kukopa ila alikuwa na maisha magumu kuliko hata wenye mikopo. Akiitwa kwenye vikao katani anatembea kwa miguu kwenda katani zaidi ya km 7, hana hata TVS. Wakati mwingine kukopa ni security...
  7. Malimi Jr

    Nimejifunza pakubwa kuhusu elimu ya fedha baada ya jamaa yangu kuchukua mkopo wa Milioni 10 kazini kwake ili anunue gari

    Yaani mtu akope m 10 mfano akafanya jambo halafu uwe naye level moja na wewe unasubiri 600k kwa mwezi??? Kama hili ni la kweli basi jua umezungukwa na kundi la wajinga na usiposhituka na wewe utaambukizwa ujinga. Sent from my ZTE T1002 using JamiiForums mobile app
  8. Malimi Jr

    Ana masters degree ya MBA in human resource lakini anaishi na kulipwa mshahara kwa cheti cha health care alicho somea miezi mitatu.

    Hatuhitaji ufafanuzi zaidi Mr. PM. Inatosha sasa. Sent from my ZTE T1002 using JamiiForums mobile app
  9. Malimi Jr

    Kwanini UTUMISHI wamezuia watumishi wa umma kukopa?

    Kinachowachanganya kwenye kila chochote kinachoongezeka na makato ya HESLB yanaongezeka. Lakini mwisho wa siku bora HESLB kuliko bank. Pia Kuuza deni kwa taasisi nyingine hilo ni wazo mfilisi kabisa. Sent from my ZTE T1002 using JamiiForums mobile app
  10. Malimi Jr

    Kuna office nimeitembelea leo,office nzima mpaka mkurugenzi hawajui kuongea Kiingereza

    Yaani wewe umesoma lakini bado una kaujinga fulani kwenye akili yako. Kila mtu kwenye soma yake ana unique historical background. Wakati kwako kiingereza ni kirahisi mwingine kijapani ndiyo rahisi kwake. Cha mwisho, punguza wivu yaani unaji-proud na kiingereza lakini umeajiriwa kama KO (Kazi...
  11. Malimi Jr

    Kwanini UTUMISHI wamezuia watumishi wa umma kukopa?

    Wastani ni 17%. Sent from my ZTE T1002 using JamiiForums mobile app
  12. Malimi Jr

    Kwanini utie huruma?

    Nicole Berry kesi yake bado inaendelea kuunguruma kizimbani. Sent from my ZTE T1002 using JamiiForums mobile app
  13. Malimi Jr

    Mikoa mipya Tanzania

    KATORO na sio KATOLA. Sent from my ZTE T1002 using JamiiForums mobile app
  14. Malimi Jr

    Confession: True story: mwaka 2024 Nimeshuhudia vijana (watu wa karibu) wakitengeneza zaidi ya 15M+ kila mmoja kwa mwaka kupitia content creation

    Kukiri/kuungama/kutubu kwamba wewe ni mkosaji/mtenda kosa/makosa. Sent from my ZTE T1002 using JamiiForums mobile app
  15. Malimi Jr

    Simulizi ya kipelelezi: Idaiwe maiti yangu

    Leo ni leo[emoji91][emoji91][emoji91] Sent from my ZTE T1002 using JamiiForums mobile app
Back
Top Bottom