Mkuu tiego nakushauri kama unataka umalize masomo yako kwa wakati na bila usumbufu, usiombe vyuo vya serikali, omba vya private. Usiniulize kwa nini wewe ukipuuzia just do for your own risk. Nakuhakikishia kama utaipuuzia komenti hii kwa sasa ipo siku utaielewa na itakuwa too late!
Yaani mtu ajenge nyumba halafu useme ametumia mkopo kwenye vitu visivyo na faida?
Anyway siwezi kukulaumu sana maana inawezekana unaishi maeneo ya ndanindani huko ambako thamani ya nyumba haionekani ila kwa mtu aliyepo kwenye miji iliyochangamka hawezi kutamka hii kauli nyumba eti ni matumizi...
Umeulizwa swali moja zuri sana.
Kuna mwalimu mkuu mmoja alikuwa na notion kama ya huyu mwamba hakuwahi kukopa ila alikuwa na maisha magumu kuliko hata wenye mikopo. Akiitwa kwenye vikao katani anatembea kwa miguu kwenda katani zaidi ya km 7, hana hata TVS.
Wakati mwingine kukopa ni security...
Yaani mtu akope m 10 mfano akafanya jambo halafu uwe naye level moja na wewe unasubiri 600k kwa mwezi???
Kama hili ni la kweli basi jua umezungukwa na kundi la wajinga na usiposhituka na wewe utaambukizwa ujinga.
Sent from my ZTE T1002 using JamiiForums mobile app
Kinachowachanganya kwenye kila chochote kinachoongezeka na makato ya HESLB yanaongezeka. Lakini mwisho wa siku bora HESLB kuliko bank.
Pia Kuuza deni kwa taasisi nyingine hilo ni wazo mfilisi kabisa.
Sent from my ZTE T1002 using JamiiForums mobile app
Yaani wewe umesoma lakini bado una kaujinga fulani kwenye akili yako.
Kila mtu kwenye soma yake ana unique historical background. Wakati kwako kiingereza ni kirahisi mwingine kijapani ndiyo rahisi kwake.
Cha mwisho, punguza wivu yaani unaji-proud na kiingereza lakini umeajiriwa kama KO (Kazi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.