Kaushauri ka bure toka huku Manzese kwa mfuga Mbwa, bora aende kwenye vituo ambavyo hupokea watoto wachanga kabisa waliotupwa na mama zao au waliofiwa na mama zao na baba hajulikani. Dogo anaweza hamisha mzigo ukaenda kwa wajomba kilaini tu.
sijakataa kuitwa chasaka nikiwa dar es salaam street moshi, ila ukija kwetu na wewe ni lipoma. Yaani kila jamii ina jina kwa mgeni yeyote anayefika kwao, zingatia hilo lipoma tarajiwa.
Tuna kwaya nne kanisani kwetu na zote zinatumia vyombo, lazima zote ziimbe nyimbo mbili, tuna kikundi cha kwaya special, hiki kinatuweka sawa kiroho kabla ya mahubiri. Tuna kwaya ya Sunday school, lazima nayo ije ipige shoo kidogo. Tuna nyimbo za kitabuni, Waumini lazima tuimbe nyimbo tatu. Upoooooo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.