Recent content by Malila

  1. M

    JamiiForums Tanzania Ninafanya kazi ya kuwabebea wengine ujauzito

    Kaushauri ka bure toka huku Manzese kwa mfuga Mbwa, bora aende kwenye vituo ambavyo hupokea watoto wachanga kabisa waliotupwa na mama zao au waliofiwa na mama zao na baba hajulikani. Dogo anaweza hamisha mzigo ukaenda kwa wajomba kilaini tu.
  2. M

    JamiiForums Tanzania Ninafanya kazi ya kuwabebea wengine ujauzito

    Hivi mtoto si wa mama kweli ? Mtoto siku atataka kumjua mama yake na hapo sijui Mkataba unasemaje, hasa suala la upendo wa mtoto kwa mama yake mzazi.
  3. M

    JamiiForums Tanzania Kwanini Wachaga wanapenda kuuliza hili swali?

    huhitajiki mkuu.
  4. M

    JamiiForums Tanzania Kwanini Wachaga wanapenda kuuliza hili swali?

    sijakataa kuitwa chasaka nikiwa dar es salaam street moshi, ila ukija kwetu na wewe ni lipoma. Yaani kila jamii ina jina kwa mgeni yeyote anayefika kwao, zingatia hilo lipoma tarajiwa.
  5. M

    JamiiForums Tanzania Kwanini Wachaga wanapenda kuuliza hili swali?

    Uzuri ukija kwetu na sisi majitu kama wewe tunayaita Mapoma, yasiyo na kwao.
  6. M

    JamiiForums Tanzania Kwanini Wachaga wanapenda kuuliza hili swali?

    Chasaka mkubwa wee
  7. M

    JamiiForums Tanzania Misemo inayoandikwa kwenye vyombo vya usafiri, we acha tu!

    Ukihitajika utaitwa
  8. M

    JamiiForums Tanzania Mikoa ya Nyanda za Juu Kusini tafuteni zao mbadala la biashara,Mahindi Kwa Sasa yanalimwa Kila pembe ya Nchi.Hadi Singida bei ni 45,000

    nje ya ugali, matumizi gani mengine unayajua kwa kutumia mahindi meupe???
  9. M

    JamiiForums Tanzania Ushauri nimuoe huyu singo maza

    Kwa mafuta ya ndege tegemea BP Kwa oil za magari tegemea BP Kwa petrol ya gari tegemea BP Kwa grisi ya mtambo tegemea BP
  10. M

    JamiiForums Tanzania Maumivu ya kuachwa na mke huwa yanachukua muda gani kupona

    Fanya hivi, Kanunue mitumba ya chupi za wanawake, migagulo, kanga na madela, kisha anika hapo home kwako ili wambea waone, saa sita mbali mtu karudi
  11. M

    JamiiForums Tanzania Kero katika Misa Katoliki (kwa wakatoliki tu)

    Yaani kumbe hujaelewa. Ukiona kwako kuna ungua basi kwa mwenzio kunateketea, umeelelwa sasa haaaaaa
  12. M

    JamiiForums Tanzania Taarifa kwa umma kuhusu kisiwa cha Lupita

    Maandishi ya huyo mwenye hotel yawekwe hapa hadharani ili tujiridhishe yanasema nini. Usikute kweli aliuziwa.
  13. M

    JamiiForums Tanzania Kero katika Misa Katoliki (kwa wakatoliki tu)

    Tuna kwaya nne kanisani kwetu na zote zinatumia vyombo, lazima zote ziimbe nyimbo mbili, tuna kikundi cha kwaya special, hiki kinatuweka sawa kiroho kabla ya mahubiri. Tuna kwaya ya Sunday school, lazima nayo ije ipige shoo kidogo. Tuna nyimbo za kitabuni, Waumini lazima tuimbe nyimbo tatu. Upoooooo
  14. M

    JamiiForums Tanzania Mufindi: Akamatwa akijaza pombe bandia kwenye Chupa

    Huyu aendelezwe ili aboreshe uzalishaji, maana mpaka hapo huyo ni asset kwa jamii. Akifunzwa vizuri distillation atatoa mnyonyo bora.
Back
Top Bottom