Recent content by Malila

  1. M

    Mwenye kujua hili la plate no SSH, nimelikuta mahala sijapata jibu sahihi

    Jambo gani litakalokuwa jipya lisilofaa linaloweza kufanywa ambalo halijafanywa na plate namba za kawaida??
  2. M

    GE2025 Kunje achukua fomu ya urais Tanzania

    Asante kwa ujasiri uliofanya.
  3. M

    Kitabu: First they killed my father

    DUNIA IMEJAA MAUZAUZA
  4. M

    ORODHA ya vijana wa Rostam na Kikwete

    Hivi hawa jamaa wakiwa vijana wa hao jamaa wanapata nini zaidi kuzidi wengine?
  5. M

    Polepole: wahuni wamevamia chama na wanataka kujimilikisha nchi mwaka 1995 walishindwa 2005 wakajaribu na 2015 walijaribu mkapa akazuia:

    Nusura ya nchi hii iko mikononi mwa wenye Nchi siyo Chama, kwa kuwa wenye nchi tumeamua kulala, itafika siku ambayo hakuna atakaye mhimiza mwenzake kudai haki yake.
  6. M

    Chikwete kawafunga vibwebwe hawa kwa miaka ishirini

    Muda ni mwamuzi wa haki atatuambia na kila kitu kitakuwa peupe
  7. M

    Mzee Makamba Pole sana

    Ubilionea bila power/madaraka siyo mtamu, vinginevyo usingeona msululu wa matajiri kugombea Ubunge
  8. M

    GE2025 Mwenezi BAWACHA, Sigrada Mligo ajiondoa CHADEMA, ahamia CHAUMMA

    Safari njema, kama uendako kuna nafuu katika kuwatumikia Watz nenda tu.
  9. M

    Utahamia lini kijijini?

    Uru nini au Keni ??? Kwa matope hayo, itakuwa pande za huko looh
  10. M

    Utahamia lini kijijini?

    Hapo pako poa, hadi basikeli zipo, nakuja
  11. M

    Utahamia lini kijijini?

    Kijiji gani mkuu nikufuate, maana kuna vijiji vingine bora ufie mjini
  12. M

    Utahamia lini kijijini?

    punda siyo nguruwe
Back
Top Bottom