Mtoa hoja anaonekana amekuja kishabiki wala sio kutakakuelimishwa, kwn kupinga au kukosoa kila kitakachofanywa na Serikali ndio mtaonekana ni Wapinzani na mkiendea na falsafa hiyo ndivyo heshima yenu itakavyotoweka, MSILAZIMISHE UKWELI KUWA UONGO SIKU ZOTE UKWELI UTABAKIA
Kuna watu kazi yao ni kupotosha tu kama walivyokaririshwa leo wako tayari kupinga kila kitu hadi nyeupe wanataka iwe nyeusi, nani kawaambia ili muonekane ni wapinzani ni kupinga kila kitu Upinzani wenu utabaki palepale hata mkikubali penye Ukweli au kukataa tofauti na hayo tutazidi kuwadharau...
Inawezekana matokeo yamechakachuliwa, kumbuka Tanzania kwanza lawama baadae , hata Brazil walipigwa idadi hiyo ila kuitamka ndipo naanza kukuelewa inafedhehesha poleni sote.
Sababu ya unafiki wao sasa wanajutia maamuzi yao WAKUKURUPUKA mnalalamika Nchi kupewa watu walewale uko sawa, Na cc pia tulitafakari kama nyie tukaona kuliko kumpa mtu yuleyule mliokuwa mkituaminisha ni.......no 1 tukaamua kumpa JPM NI SALAMA KWETU, ANZENI PLAN C MCHAFUENI NA YEYE labda...
MNAPATA WAPI UJASIRI WA KUWAITA CCM MAFISADI wakati viongozi wenu hawathubutu kutamka hivyo, mbona mnajigeuza KUKU mkifukuzwa dk1 mmesahau kama mlifukuzwa cnyie mliokuwa mnalia fedha za wavuja jasho wa Tanzania zimeliwa na list ya wa2 (11)mkaharaaaaaaaa , mara wamegeuka Malaika mliowasafisha...
Maneno ya mfa maji mtakaaa mkisubiri Nchi imshinde na dua zenu mbaya, MUNGU HANAWAPENDA SANA WATANZANIA NDIO MAANA KATUPA RAIS BORA NA C BORA RAIS, TANZANIA KWANZAA MAJUNGU HAYANA NAFASI (HAPA KAZI TU)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.