Ukiona maumivu yanazidi sana ujue raha zaidi inakuja si muda mrefu. Kila apendaye alishaumizwa. Utapata wako. Serious ni pm nitakufariji japo tuonane tuongee. Njoo kwangu mama
Yaani hawa hawaelewi hata kilichotokea kwenye hiyo ndege ya malysian. Wamarekani wanajua na wanahusika na hiyo ndege. Kitechnolojia wako juu balaa msiongee vitu vya ajabu
Kwa ujumla nissan ni.nzuri kama ni mpya ila used utalia si muda mrefu. Ni mzuri sana miguuni ila injin bomu. Wengi unaowaona wamejaa kwenye hizo gari wameweka injini za.rav4. Kama utakubaliana na kuweka injini nyingine nunua. Injini bomu sana kaka ndio maana bei zake down
Wewe nahisi ni mtoto na kama si mtoto basi hazikut.shi. na kama zinakutosha, huna nidhamu na kama una nidhamu kasome kwanza. Na kama umesoma leo nitamuomba mod akudelete kwenye huu uwanja. Nilitaka nikueleweshe lakini naona haina haja. Wewe ni mbulula tu. Kajenge huko kijijini kwenu
Mimi huwa najaribu kupata picha alivyo kidevu. Kwanza huwa nahisi kama mwislamu hivi ana simple kibaragashia, kaptula kubwa. Halafu ana mzuzu wa kichokozi hivi. Na prado yake makini ya kuwachanganyia habari wake za watu. Mwisho kabisa huyu atakuwa ni dalali. Alibabatiza dili moja akanunua gari...
Yaani swali lako lina maidhi sana. Inawezekana wewe ni mbinafisi na hujali. Wenzio. Kujengea makabir ni utaratibu wa dunia nzima kama namna ya kuenzi wapendwa wao. Its culture which shapes the personality of an individual. So kuna umhimu wake tena sana. Sio tu katika kujifurahisha. Watu wengi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.