Tulipodhani tunajua kila kitu

Tulipodhani tunajua kila kitu

Hii ni mbinu nzuri pia CCM yako wameacha kichwa cha kaka yako Lipumba na kuweka matikiti kwenye uchumi kisa yana rangi ya ccm kwa juu.

Mchumi si lazima awepo Serikalini kufanya kazi zake. Kumbuka hilo.
 
Unaamini nini?? Kuwa Malaysian Plane kupotea ni failure ya tech? Kama imefichwa na hao super tech morons?

Sent from my Nokia Lumia using Tapatalk
 
Mchumi si lazima awepo Serikalini kufanya kazi zake. Kumbuka hilo.
Kwani hao wamarekani waliowachukua walikuwa wanafanya kazi kwenye serikaliyao?hata uraia walikuwa nao?Tuache tu siasa za uongo haya matikiti yenu yatatuharibia uchumi hadi wauze watoto wetu!
 
Kwani hao wamarekani waliowachukua walikuwa wanafanya kazi kwenye serikaliyao?hata uraia walikuwa nao?Tuache tu siasa za uongo haya matikiti yenu yatatuharibia uchumi hadi wauze watoto wetu!

Jisome ulichokiandika halafu nisome tena nilichokiandika, sijui unacho hororoja ni nini haswa.
 
Unaamini nini?? Kuwa Malaysian Plane kupotea ni failure ya tech? Kama imefichwa na hao super tech morons?

Sent from my Nokia Lumia using Tapatalk

Tutabaki kwenye dillema mpaka hapo ukweli utakapopatikana
 
watu8 ni haki yako kuungana na kiranga, endelea kufuatilia hii thread utapata majibu

Translation ni kwamba jibu huna, unategemea lipatikane kwenye thread.

Ungekuwa nalo ungetupa.

Inaonekana umeandika kitu ambacho huna uhakika nacho.

Cc watu8
 
Last edited by a moderator:
Translation ni kwamba jibu huna, unategemea lipatikane kwenye thread.

Ungekuwa nalo ungetupa.

Inaonekana umeandika kitu ambacho huna uhakika nacho.

Cc watu8

una uhuru wa kufikiri hivyo na wala siwezi kukuzuia sometimes silence is the best answer...! thats why sikujibu maswali yako na walionielewa wameendelea kuchangia
 
Last edited by a moderator:
una uhuru wa kufikiri hivyo na wala siwezi kukuzuia sometimes silence is the best answer...! thats why sikujibu maswali yako na walionielewa wameendelea kuchangia

Lakini hapa unanijibu tena bila kutoa jibu.

Una uhuru wa kufikiri chochote, lakini ukweli unabaki kwamba hujatoa jibu bado.
 
Lakini hapa unanijibu tena bila kutoa jibu.

Una uhuru wa kufikiri chochote, lakini ukweli unabaki kwamba hujatoa jibu bado.

kiranga una tatizo moja SUPERIORITY COMPLEX na hakuna watu rigid wa kudeal nao kama wenye tatizo kama lako na wengine ni wale wenye INFERIORITY COMPLEX! kwakuwa unafikiri wewe ni mahiri na unajua kila kitu kwahiyo huwa unajaribu kwa nguvu nyingi kumtease yeyote anayepost chochote labda tu awe ni rafiki yako. ndo maana huwa sihangaiki kukujibu chochote
 
Mjadala umeenda shule, nilitaka kupita kimya lakini nimeshindwa.

Nitaendelea kupitia michango ya huu mjadala hadi hatua ya mwisho
 
kiranga una tatizo moja SUPERIORITY COMPLEX na hakuna watu rigid wa kudeal nao kama wenye tatizo kama lako na wengine ni wale wenye INFERIORITY COMPLEX! kwakuwa unafikiri wewe ni mahiri na unajua kila kitu kwahiyo huwa unajaribu kwa nguvu nyingi kumtease yeyote anayepost chochote labda tu awe ni rafiki yako. ndo maana huwa sihangaiki kukujibu chochote

Superiority complex unayo wewe ambaye umesema kitu ulichodai unakijua, nikakuuliza uthibitisho, ukashindwa kunipa uthibitisho, na bado unajivika ujuaji.

Katika saikojia kuna kitu kinaitwa "projection", ambacho kinahusika na mtu mwenye tabia fulani kuiona sana tabia hiyo kwa wenzake, hata kama haipo. Kwa hiyo si ajabu kuona mwizi anamshuku mtu mwingine kuwa mwizi.

Ndicho ulichofanya hapa.

Una project superiority complex yako kwangu.

Tena si Superiority Complex tu, bali upo "passove aggressive" ndiyo maana unanijibu kwamba huhangaiki kunijibu chochote, wakati ushanijibu.


Mimi nina king'ang'anizi tu kwa mtu yeyote anayeleta bull.shyt na kukwepa maswali ua msingi.

Hii kamwe haiwezi kuwa superiority complex.
 
Wamarekani walitaka kutuaminisha kuwa wao ndio baba wa tech duniani na kwao hakuna kinachoshindikana, kuanzia mwezini mpaka chini ya uvungu wa bahari, wanaimonitor dunia yote kwa ufasaha kabisa, lakini kupotea kwa ndege ya malaysia ni changamoto mpya ya dunia na kwakweli sasa tunaweza kupinga kuwa dunia si kijiji tena. Kisa cha ndege ya malaysia kinashabihiana kwa kiasi fulani na habari za mnara wa babeli.
Pata hii tetesi ya jinsi wamerekani kwa kushirikiana na mwisraeli walivyohusika kuipoteza ndege hiyo. Kwa kifupi, taliban aliweza kuteka control tower ya drone wakati marekani anafungasha kutoka Afighanistan, akaitafutia soko kwa mchina. Mchina katuma wataalamu wake afighanistan, ili deal lisibumbuluke wakaingilia malaysia. Wakaenda kukusanya data, wakawa wako safarini kurudi kwao china kwa njia ile ile iliyowaleta. Kumbe israeli was watching, na alijua ni wapi atawakamata. Matokeo yake, zaidi ya maneno 'muwe na usiku mwema' si malaysia wala china anayejua zaidi kuhusu hiyo ndege. Sory, ni strori tu.
 
pamoja na hizo sifa kwa china kua uchumi wake uko juu,me katika mtazamo wa kawaida kabisa cjawahi kumuona mmarekani anauza uza vitu mtaani kama mapazia,dawa gereji bubu kama chinga,wao wakija ni watalii hata kule mtwara wanafanya kazi wanarud kulala dar kifupi hawana hela za mawazo.
 
Superiority complex unayo wewe ambaye umesema kitu ulichodai unakijua, nikakuuliza uthibitisho, ukashindwa kunipa uthibitisho, na bado unajivika ujuaji.

Katika saikojia kuna kitu kinaitwa "projection", ambacho kinahusika na mtu mwenye tabia fulani kuiona sana tabia hiyo kwa wenzake, hata kama haipo. Kwa hiyo si ajabu kuona mwizi anamshuku mtu mwingine kuwa mwizi.

Ndicho ulichofanya hapa.

Una project superiority complex yako kwangu.

Tena si Superiority Complex tu, bali upo "passove aggressive" ndiyo maana unanijibu kwamba huhangaiki kunijibu chochote, wakati ushanijibu.


Mimi nina king'ang'anizi tu kwa mtu yeyote anayeleta bull.shyt na kukwepa maswali ua msingi.

Hii kamwe haiwezi kuwa superiority complex.

ni heri na kukutana na mnyama mkali kuliko -------- katika upumbavu wake! kusoma sana si kuelimika heading ya hii post inasema hivi TUNAPODHANI TUNAJUA KILA KITU
 
So is in tz, and the only difference is that we are lacking committed top leaders!

Can't blame the leaders, our IQ average is one of the lowest in the world, so we are made to believe.

We are simply primitive in our way on thinking, even our curriculum encourage us to be dependents all the way.

Imagine, you blaming the leaders is being totally dependent, your capacity has reached the conclusion that without someone else, a leader in this case, you can do nothing.

I do not blame you, its the way you have been raised and taught all the way, that you are simply dependent on your master, you are nothing on your own.

All through your ancestors life, up to this moment, you have been bombarded with brain washing of the highest caliber incapacitating you to never ever think otherwise. Its a pity, you will pass it over to your siblings.
 
Bado sana.

Marekani kuanguka si leo, kesho, keshokutwa, mtondogoo, wala wala mtondojogoo.

Marekani iko juu karibu kwenye kila nyanja iliyo bora hapa duniani.

Halafu unamaanisha nini kusema hata iPads hawajawahi kutengeneza?
Yaani hawa hawaelewi hata kilichotokea kwenye hiyo ndege ya malysian. Wamarekani wanajua na wanahusika na hiyo ndege. Kitechnolojia wako juu balaa msiongee vitu vya ajabu
 
Back
Top Bottom