Hivi Wanyama (Tembo &Co.) Wana Faida Gani?

Hivi Wanyama (Tembo &Co.) Wana Faida Gani?

Kijakazi

Platinum Member
Joined
Jun 26, 2007
Posts
10,529
Reaction score
18,046
Hivi Hawa Wanyama wanaongelewa kila siku mpaka watu kukosa usingizi kwamba Mara wanaisha, Mara wanaibiwa, Mara Pembe zao zinauzwa, kwani hata wakiisha kwa nini ni Ishu? Mimi binafsi sioni faida ya kuwa na Tembo au sijui Simba, kiasi cha kufanya iwe hoja kubwa mpaka raisi wa nchi kuingilia...

Kwanza ukiniuliza mimi hata Selous (50 000km²) yote tukiichukua na kujenga Vijiji watu waishi ni sawa tu!
 
Hivi Hawa Wanyama wanaongelewa kila siku mpaka watu kukosa usingizi kwamba Mara wanaisha, Mara wanaibiwa, Mara Pembe zao zinauzwa, kwani hata wakiisha kwa nini ni Ishu? Mimi binafsi sioni faida ya kuwa na Tembo au sijui Simba, kiasi cha kufanya iwe hoja kubwa mpaka raisi wa nchi kuingilia...

Kwanza ukiniuliza mimi hata Selous (50 000km²) yote tukiichukua na kujenga Vijiji watu waishi ni sawa tu!

Kiongozi,swali lako ni la msingi Sana, lkn utabezwa. Kwa kifupi, wanyama wote kwa ujumla wao bila kujali ukubwa au udogo wake wana faida kubwa ktk maeneo makubwa matatu: mazingira; kijamii na kichumi. Kwa mfano, kimazingira wanyama huyarutubisha mazingira Yao na kuyafanya yaonekane kama tunavo yaona sasa. Huwa ni sehemu ya food chain yaani Kula na kuliwa. Ni sehemu muhimu Sana ya ikolojia.
Kijamii, wanyama ni tayari kubwa ya kitamaduni na kimila za kiafrika. Kuna makabila watu wanaitwa majina ya wanyama kama tembo, mbawala, kiboko, simba n.k. Ni majina mazuri Sana.
Kichumi, wanyama ni chanzo kikubwa cha fedha nyingi za kigeni na hivo bila wanyama hawatakuwepo watalii wataoingizia taifa fedha za kigeni. Wale wakubwa watano (the big 5), tembo, Chui, nyati, faru na simba ndo hasaa wa kutegemewa kitalii ndo maana serikali inajitahidi kuwekeza ktk kuwalinda. Nadhani wengine wataongezea pia.
 
Wewe nahisi ni mtoto na kama si mtoto basi hazikut.shi. na kama zinakutosha, huna nidhamu na kama una nidhamu kasome kwanza. Na kama umesoma leo nitamuomba mod akudelete kwenye huu uwanja. Nilitaka nikueleweshe lakini naona haina haja. Wewe ni mbulula tu. Kajenge huko kijijini kwenu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom