Recent content by Makuwani

  1. Makuwani

    Mabilioni ya mababu zetu waliofariki kabla ya kuletewa Uislam kwasasa Wapo Motoni au peponi?

    Kwanza ututhibitishie uwepo wa hao mababu zako "bilioni" waliishi wapi? Mwaka gani?
  2. Makuwani

    Kiona Mbali: Bashite kama Lowassa; Mama kama Kikwete. Kisha Bashite atajiuzulu kumuokoa Mama

    mmiliki wa siri zote ni Rais. vp mtu unatuaminisha kuwa yeye anajua siri za nchi kuliko usalama na Rais
  3. Makuwani

    Chakula hiki nimekipata kwa elfu 3000 tu

    elfu 3000 (elfu elfu tatu) maana yake milioni tatu
  4. Makuwani

    Binadamu: Kiumbe chenye chanzo kisichojulikana, yupoyupo tu hana mwanzo wala mwisho

    kwanini unamwita binadamu? yaani bin adam! maana yake mwana wa adam, mtoto wa adam hivyo basi jina lake tu linatosha kujua mwanzo wake
  5. Makuwani

    Waislamu 11 Wakamatwa Nigeria kwa kutokufunga Mfungo wa Ramadhani

    ni sawa na kusema malaya waachwe huru wajiuze
  6. Makuwani

    Waislamu 11 Wakamatwa Nigeria kwa kutokufunga Mfungo wa Ramadhani

    hivyo wakristo hufanya katika tawala zao kwahiyo kuwa mvumilivu
  7. Makuwani

    Kwanini Kwaresma inaonekana haina uzito kuliko Ramadhani?

    siyo mpango wa Mwenyezi Mungu
  8. Makuwani

    We CHADEMA, umepiga pigaje hapo?

    una akili sana
  9. Makuwani

    FT: Yanga SC 1-3 APR FC | Mapinduzi Cup | Aman Complex | 07/01/2024

    Hapana! Ni hujuma ili tufungwe zaidi
Back
Top Bottom