Recent content by Makungwe

  1. Makungwe

    Tundu Lissu arejee nyumbani Mara moja

    kwani dr slaa yuko wapi huoni kama angetuuza kwa bei chee
  2. Makungwe

    BAWACHA yaandaa mafunzo ya Wajasiriamali kwenye Ofisi za Makao Makuu ya Chadema

    Kila kitu dar na sisi wa mikoani lini? Mtuangalie kwa jicho la huruma wake zetu na wenyewe wafaidike.
  3. Makungwe

    PGO mwiba kwa maafisa wa Jeshi la Polisi, wanafanya kazi kwa taratibu zipi?

    Wakuu nini kirefu cha neno PGO??? kwa wanaofahamu mtuambie
  4. Makungwe

    Zitto Kabwe awa mbogo, awashukia vikali wanaodai Makamu wa Rais, Dkt. Mpango ni Mrundi

    Kigoma mungu atupe nini jamani!! Toka uhuru kigoma tulikuwa hatujawahi kupata kiongozi wa ngazi za juu kama leo Dr philipo Mpango ni VP wenye kukelwa endeleeni kukelwa mpaka mpasuka.
  5. Makungwe

    Tetesi: Magufuli amefariki dunia

    Kwa hiyo jamiforums imekuwa kama kijiwe kama facebook mods futa uzi huu haraka na kwann mmeuruhu kuwepo jukwaani ?
  6. Makungwe

    TFF mmewasikia Kanisa Katoliki?

    Mbona waumini wao hawavai?
  7. Makungwe

    CHADEMA ijifunze kwa ACT wazalendo namna ya kutuma majina ya wateule "wapendekezwa" kwa wakati bila mizengwe!

    Wambie hao ACT wapendekeze jina la mwenyekiti wa BAWACHA hujaguswa unaruka peke yako je ukiguswa? harafu unajikanya mwenyewe nenda ukalime masika hii utavuna usijifiche kwenye keybord.
  8. Makungwe

    Askofu Ruwa'ichi: Asante mliovaa barakoa, nawalaumu msiovaa. Hali ni tete, tumetofautiana na Serikali

    Mungu ni mkuu na mwenye mamlaka kwa kila kiumbe alichokiumba na kwenye biblia tumeambiwa tuseme ukweli na ukweli utakuweka huru
  9. Makungwe

    Kisichoeleweka kwa wadau kuhusu mbunge wa Morogoro Mjini, Abdulaziz Abood

    Mpeni DEVOTA NIJNJA atawavusha Morogoro
  10. Makungwe

    CHADEMA: Hatujapokea ruzuku yoyote kutoka Serikalini

    Nyie CHADEMA Mwamkataa SHETAN NA MAMBO YAKE YOTE??
  11. Makungwe

    Mbowe: Mbunge na Madiwani walioapa hawakutenda jinai, ila ni wakaidi

    Wamekaidi nini watu hawakulala kulinda kura mpaka kikaeleweka halafu waachie kiulaini rahisi rahisi tu haiwezekani.
Back
Top Bottom