Zitto na Nondo wanaenda speed sana kupush agenda za Kigoma

Beatrice Kamugisha

JF-Expert Member
May 18, 2019
762
6,980
Nondo na Zito punguzeni speed maana kila mtu anajua Kigoma ilikuwa nyuma kwa miaka miaka mingi na Kuna agenda mahususi za mkoa huo. Jana Zitto amesimamia kidete suala ya Uraia akiwa chini ya cover ya hoja iliyoletwa ya Uraia wa Dr. Mpango. It's true Kigoma Kuna changamoto ya wakaazi wengi kukosa au kutumbuliwa kwa kuambiwa si raia na Ni hoja ya muda mrefu sana. Zitto kuchukulia au kuamini Makamu wa Rais anaweza akaondoa changamoto hii nikujidanganya kwa sababu ni ukweli ulio wazi kwamba familia zilizochanganya damu ni ninyi hivyo kila familia inaathiriwa na hoja hii ya Uraia.

Serikali haiwezi kuichukulia hii hoja jumla jumla ,italishughulikia case b case kwa sababu uraia siyo family matter it's individual matter. Nimwombe zitto asigeneralize atambue wapo wageni wengi waliojificha kwenye mwamvuli wa Watanzania lazima wachambuliwe.

Alipomaliza Zitto mapa akaibuka Nondo na hoja ileile ila akaiwasilisha kupitia tatizo la vitambulisho vya Taifa. Wakati anazungumzia tatizo la vitambulisho akarejea kulekule kwamba Mikoa ya mpakani inashida akiitaja Kigoma kama mfano.

Hii speed haikuwa kuonekana kabla ya uteuzi wa Makamu wa Rais, maana yake nikumpa agenda Dr. Mpango aisimamie kwa madaraka yake.

Naomba bila kupindisha maneno nimwombe Mhe. Mpango ajitenge na mtego huu, suala la Uraia Ni suala la usalama na linagusa nafsi moja moja si jamii. Haliwezi kufanyiwa kazi kisiasa maana linaweza kulipasua taifa. Kagera tumewahi kuwa na mkakati huu wakupeana kazi kwa mkoa na mwisho wake waliingia wasio Wana kagera wakapata ajira na leo wamejazana maofisini. Tuliwadhamini tukidanganya ni wanetu na ndugu zetu huku tukijua hawakuwa ndugu zetu bali walikuja kwa sababu tinafanana.

Tusiingilie kazi ya dola pls
 
Nondo na Zito punguzeni speed maana kila mtu anajua Kigoma ilikuwa nyuma kwa miaka miaka mingi na Kuna agenda mahususi za mkoa huo. Jana Zitto amesimamia kidete suala ya Uraia akiwa chini ya cover ya hoja iliyoletwa ya Uraia wa Dr. Mpango. It's true Kigoma Kuna changamoto ya wakaazi wengi kukosa au kutumbuliwa kwa kuambiwa si raia na Ni hoja ya muda mrefu sana. Zitto kuchukulia au kuamini Makamu wa Rais anaweza akaondoa changamoto hii nikujidanganya kwa sababu ni ukweli ulio wazi kwamba familia zilizochanganya damu ni ninyi hivyo kila familia inaathiriwa na hoja hii ya Uraia.

Serikali haiwezi kuichukulia hii hoja jumla jumla ,italishughulikia case b case kwa sababu uraia siyo family matter it's individual matter. Nimwombe zitto asigeneralize atambue wapo wageni wengi waliojificha kwenye mwamvuli wa Watanzania lazima wachambuliwe.

Alipomaliza Zitto mapa akaibuka Nondo na hoja ileile ila akaiwasilisha kupitia tatizo la vitambulisho vya Taifa. Wakati anazungumzia tatizo la vitambulisho akarejea kulekule kwamba Mikoa ya mpakani inashida akiitaja Kigoma kama mfano.

Hii speed haikuwa kuonekana kabla ya uteuzi wa Makamu wa Rais, maana yake nikumpa agenda Dr. Mpango aisimamie kwa madaraka yake.

Naomba bila kupindisha maneno nimwombe Mhe. Mpango ajitenge na mtego huu, suala la Uraia Ni suala la usalama na linagusa nafsi moja moja si jamii. Haliwezi kufanyiwa kazi kisiasa maana linaweza kulipasua taifa. Kagera tumewahi kuwa na mkakati huu wakupeana kazi kwa mkoa na mwisho wake waliingia wasio Wana kagera wakapata ajira na leo wamejazana maofisini. Tuliwadhamini tukidanganya ni wanetu na ndugu zetu huku tukijua hawakuwa ndugu zetu bali walikuja kwa sababu tinafanana.

Tusiingilie kazi ya dola pls
Changamoto juu ya uraia inatatuliwa vipi? Wasio raia kupewa uraia?
 
Zitto hakuanzisha issue hiyo jana. Alikuwa anawajibu wale wapuuzi wachache walioanza kupiga ramli chonganishi eti kwamba Dr. Mpango ana asili ya Burundi na kwamba eti aliwahi kuwa mkimbizi. Yaani tweet ya mtu mmoja ikawa ndio “chanzo cha taarifa”

Vyombo vya dola vipo na vilikuwa kazini kabla hata Dr. Mpango hajawa nominated. Msidhani UVP ni kama kikao cha sendoff ambapo mwenyekiti anakuwa picked tu in a minute
 
Zitto hakuanzisha issue hiyo jana. Alikuwa anawajibu wale wapuuzi wachache walioanza kupiga ramli chonganishi eti kwamba Dr. Mpango ana asili ya Burundi na kwamba eti aliwahi kuwa mkimbizi. Yaani tweet ya mtu mmoja ikawa ndio “chanzo cha taarifa”

Vyombo vya dola vipo na vilikuwa kazini kabla hata Dr. Mpango hajawa nominated. Msidhani UVP ni kama kikao cha sendoff ambapo mwenyekiti anakuwa picked tu in a minute
DR NTIBAZONKIZA au sio
 
Zitto hakuanzisha issue hiyo jana. Alikuwa anawajibu wale wapuuzi wachache walioanza kupiga ramli chonganishi eti kwamba Dr. Mpango ana asili ya Burundi na kwamba eti aliwahi kuwa mkimbizi. Yaani tweet ya mtu mmoja ikawa ndio “chanzo cha taarifa”

Vyombo vya dola vipo na vilikuwa kazini kabla hata Dr. Mpango hajawa nominated. Msidhani UVP ni kama kikao cha sendoff ambapo mwenyekiti anakuwa picked tu in a minute
😂😂🤣🙏
 
Nondo na Zito punguzeni speed maana kila mtu anajua Kigoma ilikuwa nyuma kwa miaka miaka mingi na Kuna agenda mahususi za mkoa huo. Jana Zitto amesimamia kidete suala ya Uraia akiwa chini ya cover ya hoja iliyoletwa ya Uraia wa Dr. Mpango. It's true Kigoma Kuna changamoto ya wakaazi wengi kukosa au kutumbuliwa kwa kuambiwa si raia na Ni hoja ya muda mrefu sana. Zitto kuchukulia au kuamini Makamu wa Rais anaweza akaondoa changamoto hii nikujidanganya kwa sababu ni ukweli ulio wazi kwamba familia zilizochanganya damu ni ninyi hivyo kila familia inaathiriwa na hoja hii ya Uraia.

Serikali haiwezi kuichukulia hii hoja jumla jumla ,italishughulikia case b case kwa sababu uraia siyo family matter it's individual matter. Nimwombe zitto asigeneralize atambue wapo wageni wengi waliojificha kwenye mwamvuli wa Watanzania lazima wachambuliwe.

Alipomaliza Zitto mapa akaibuka Nondo na hoja ileile ila akaiwasilisha kupitia tatizo la vitambulisho vya Taifa. Wakati anazungumzia tatizo la vitambulisho akarejea kulekule kwamba Mikoa ya mpakani inashida akiitaja Kigoma kama mfano.

Hii speed haikuwa kuonekana kabla ya uteuzi wa Makamu wa Rais, maana yake nikumpa agenda Dr. Mpango aisimamie kwa madaraka yake.

Naomba bila kupindisha maneno nimwombe Mhe. Mpango ajitenge na mtego huu, suala la Uraia Ni suala la usalama na linagusa nafsi moja moja si jamii. Haliwezi kufanyiwa kazi kisiasa maana linaweza kulipasua taifa. Kagera tumewahi kuwa na mkakati huu wakupeana kazi kwa mkoa na mwisho wake waliingia wasio Wana kagera wakapata ajira na leo wamejazana maofisini. Tuliwadhamini tukidanganya ni wanetu na ndugu zetu huku tukijua hawakuwa ndugu zetu bali walikuja kwa sababu tinafanana.

Tusiingilie kazi ya dola pls
Mbona nyie Nshomile hampati taabu wakati mnafanana kila kiti na watu wa ngambo hapo.
Kwanini wanaosakamwa ni Waha tu na watu wa Ngara?. Mfike Sehemu mtamke wazi kuwa mnawaogopa Warundi wa Wanyarwanda na mseme wazi wana kipi "special" kinachowafanya muwaogope, maana si kwa kuwafatilia huko.
Maana ufuatiliaji huo haupo kwa watu wa kusini, kasikazini na hata kaskazini magharibi wakati wote wako mipakani.
Shule niliyosoma kulikuwa na watu wanaongea Kiswahili cha Kenya kabisa, ila hata siku moja husikii wakisakamwa.
 
Wazungu wanasema "he who alleges must prove"

Nawashangaa nyie mnaoibua "nondo" zenu toka kwa Kigogo mnataka mpewe uthibitisho na mnaowatuhumu.

Nendeni mahakamani mkawaambie Dr. Mpango ni Mrundi kwasababu anajua kucheza ngoma ya kirundi muone kama mtashinda hiyo kesi.
 
Dawa ya ubaguzi wa kijinga kama huu ni kuanzisha agenda ya kujitenga kwa mkoa wa Kigoma kutoka kwenye Jamuhuri ya Muungano na kutengeneze nchi inayojitegemea kama zilivyo Rwanda na Burundi. Kigoma ina eneo kubwa kuliko hizo nchi ndogo hata zikiiunganishwa, Kigoma ina lugha na utamaduni wake,na watu wapo wa kutosha, kinachotakiwa ni kujipanga sio kivyama tena, ni kufanya kama Orange free state ya Nigeria, Polosario na Rohingya, Jimbo la Delta n k ...ili wanaojisikia watanzania sana kuliko wengine waweze kujinafasi zaidi...Hakuna namna!!.
 
Back
Top Bottom