Tunataka fidia na ilhali sisi bado ni watumwa?!!
Utofauti wa utumwa wa sasa na ule wa babu zetu ni eneo tu tulipofungwa minyororo!
Babu zetu walifungwa minyororo miguuni na mikononi lakini sisi AKILI ZETU ZIMEPIGWA MINYORORO😓
Hiyo fidia wasitupe tuu,tutaanza KUCHAPANA RISASI KWASABABU YA HIYO...
Kabisa mkuu,MWISHO NDIYO MWANZO MPYA.
Kwa umri wangu huu wa ngazi nne na ushee nimetafakari mafundisho yao na kuisikiliza roho yangu,nimetambua kuwa mimi si mgeni duniani hapa,Nishawahi kuwapo!! KUNA MAMBO HUWA YANATOKEA KWENYE MAISHA YANGU NA NAMNA NINAVYOKABILIANA NAYO NADIRIKI KUSEMA...
kabla ya Mama yangu kubeba ujauzito maisha yaliyokuwepo ni ya kiroho ambayo siwezi kukumbuka,TUKIFA TUNARUDI MAISHA YA KIROHO ambayo ni mazuri kuliko haya ya MWILI!
Mtu ni roho,mwili ni sanduku tu lililotunza roho,MWILI huzaliwa na KUFA lakini roho yako ipo milele ikiwa imeambatana na...
Kabla ya kuzaliwa kulikuwa na maisha kiongozi!Tumeumbiwa usahaulifu kuhusu maisha yetu chini ya miaka mitano!
Je unakumbuka ulipokuwa na mwaka mmoja ulifananajee?HUKUMBUKI,kutokukumbuka kwako hakuthibitishi kuwa hukuwako.
KUNA MAISHA BAADA YA KIFO ILA UBONGO WETU UNA LIMITATIONS ZAKE
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.