Recent content by Makuku Rey

  1. Makuku Rey

    JamiiForums Tanzania Kwa nini wafanya biashara wengi wa dala dala wamepaki gari zao? Je, hii biashara hailipi?

    Madereva daladala wa jiji la mbeya wamejitakia kupaki🤣🤣,haiwezekani eti daladala na bajaji ZOTE nauli ni 1000,Mimi mteja lazima ntakimbilia bajaji tuu😔
  2. Makuku Rey

    JamiiForums Tanzania Vijana wa kitambo chetu

    Mvi huashiria busara😁😁
  3. Makuku Rey

    JamiiForums Tanzania Aliyeozesha mwanafunzi kwa ng'ombe 15 azitema

    Upum..bavu tuuu!elimu yenyewe ya kuwafunga wazazi ni ipi?hii ya mtaala mpya?!!!
  4. Makuku Rey

    JamiiForums Tanzania KERO Bei za vyakula kwa wasafiri ni kubwa

    Vipi kwani bei za nauli ni ndogo?
  5. Makuku Rey

    JamiiForums Tanzania Aisee usimchukulie poa mwanaume anaeipitia ukata mkali tena unakuta ana wategemezi. Kama haujawahi kuwa level hii utamchukulia poa. Ukata unauma sanaa

    Very Sad!kubali matokeo,hata mtoto achana naye,Kuna siku atakutafuta!futa kabisa kuwa ulikuwa na mke kama huyo!! Mwanamke atakumbuka hilo tukio milele na siku Moja atamrudisha mwanao.
  6. Makuku Rey

    JamiiForums Tanzania FT: France 2-0 Morocco | World Cup 2026 | Gillette Stadium | Julai 9, 2026 | 5:00 Usiku | Morocco kazi imeshia hapa

    Weusi wenzangu Leo Morocco wanafungasha virago
  7. Makuku Rey

    JamiiForums Tanzania Hakuna namna John Heche anaweza kuchomoka kwenye hili

    Neema na baraka za Mungu haziwezi kukuleta mtu kama wewe,hii itakuwa ni Makusudi ya IBILISI kutaka kukivuruga Chama chetu! Again and again wewe ni MKUBWA WA MASHETANI.
  8. Makuku Rey

    JamiiForums Tanzania Hakuna namna John Heche anaweza kuchomoka kwenye hili

    Wewe nilikuona kama Mungu kwangu!ila kwa upuuzi uliopost kumbe ni LISHETANI LIKUU😈
  9. Makuku Rey

    JamiiForums Tanzania Jeshi la Polisi: Watu 130 wakamatwa kwa tuhuma za mipango ya kuchoma shule na kuua viongozi

    Huu ni uonezi tuuu,ila ipo siku yatakwisha!
  10. Makuku Rey

    JamiiForums Tanzania Hakuna namna John Heche anaweza kuchomoka kwenye hili

    Sijaelewa!sitakuamini Tena😏
  11. Makuku Rey

    JamiiForums Tanzania Maandamano yameanza kufa kabla hata hayajaanza?

    Let's wait..... 77 is loading..........
  12. Makuku Rey

    JamiiForums Tanzania KERO: EWURA mmetangaza kuwa bei ya Mafuta ya petroli na dizeli imeshuka, JE LATRA nao mbona hawatutangazii bei mpya za nauli?

    Nauli zinajua njia Moja tuu YA KUPANDA,KUSHUKA HAPANA!!! Hata mafuta yafike 2000 Nauli itabaki palepale,hii ni TANGANYIKA mkuu😥
  13. Makuku Rey

    JamiiForums Tanzania Raia wa Tanzania wadakwa na mabilioni nchini Malawi

    Tutasikia mengi mpaka kufika tarehe 8.
Back
Top Bottom