Recent content by Makuku Rey

  1. Makuku Rey

    JamiiForums Tanzania Ushauri unahitajika

    AmucTa ndiyo chuo gani?!!
  2. Makuku Rey

    JamiiForums Tanzania Dar: Conrad Agonza Kayoza aliyeshambuliwa na Trafiki, kufikishwa mahakama ya Kinondoni leo

    Polisi nao wamevunja Sheria wamemshushia kipondo mtuhumiwa hata kabla hajafikishwa mahakamani😥😥,NCHI HII INASHANGAZA SANA.
  3. Makuku Rey

    JamiiForums Tanzania Dar: Conrad Agonza Kayoza aliyeshambuliwa na Trafiki, kufikishwa mahakama ya Kinondoni leo

    Watekeleza Sheria wao wako juu ya Sheria?!kwanini wamempiga na kumuumiza vibaya dakitari bingwa?
  4. Makuku Rey

    JamiiForums Tanzania Hivi ndivyo Wananchi wenye hasira walivyompiga Daktari Bingwa wa Mloganzila aliyemshambulia Askari

    Huwezi kupigwa na wananchi ukiwa mikononi mwa polisi,Wananchi waliomzaba huyo daktari bingwa ni POLISI WENYEWE😥,wamejichukulia Sheria mikononi.
  5. Makuku Rey

    JamiiForums Tanzania Viongozi wamfariji Rais Samia Kizimkazi

    Mume wa raisi ni raisi,nashauri bendera ingeshushwa nusu mlingoti hata kwa siku 40🤤
  6. Makuku Rey

    JamiiForums Tanzania Ni kitu gani kifanyike kupunguza tatizo la ajira kwa vijana mkoani MBEYA ?

    Tatizo la ajira kwa vijana ni la nchi nzima,sidhani kama ni vyema kutusema vijana wa Mbeya asubuhi yote hii mkuu
  7. Makuku Rey

    JamiiForums Tanzania Ukoo unaendaga kwenye vikao vya ukoo?

    Mambo ya msingi sana hayo mkuu,jikaze toa pesa,hao ndiyo ndugu zako,ukiwakataa hao kitakulamba siku moja
  8. Makuku Rey

    JamiiForums Tanzania CDF Mkunda: JWTZ ni Jeshi lao Wananchi, waendelea kutoa ushirikiano kwa jeshi lao

    JESHI limeanza kujitetea😆! Nchi yetu Haina JESHI bali C.C.M Ina JESHI.
  9. Makuku Rey

    JamiiForums Tanzania Laana ya shamba

    Nzuri sana,aliyelileta joka kaishiwa pawa ya kulidhibiti😔
  10. Makuku Rey

    JamiiForums Tanzania Mwachie Emanuel Nchimbi punguzeni kuendesha nchi kihuni

    SIKUONA umuhimu wa kumtia kizuizini mheshimiwa nchimbi! Kunakaribia kupambazuka!tuwe na subira!
  11. Makuku Rey

    JamiiForums Tanzania Katiba ya Tanzania haizuii Rais na Makamu wake kuwa dini moja

    History inazidi kumkataa MAKAMO NDEJEMBI😔
  12. Makuku Rey

    JamiiForums Tanzania Tunamchukulia poa lakini ukweli ametushika pabaya, tena pabaya sana

    Hakika inasikitisha sana😔😔, But nadhani kunakaribia kupambazuka💪💪
  13. Makuku Rey

    JamiiForums Tanzania Tunataka jina halisi la makamu wa Rais mteule

    Hakuna mtanganyika anayefanania na huyu bwana😔
  14. Makuku Rey

    JamiiForums Tanzania Uwezekano wa Rais aliye madarakani kuwa shahidi mahakamani ukoje kisheria?

    Ataitumia hiyo Kinga ya kushtakiwa kutokwenda mahakamani!
  15. Makuku Rey

    JamiiForums Tanzania Tusichukulie Kirahisi, Rais Samia anaweza kufika Mahakamani kuwa prove wrong. Hivyo Lissu ajiandae kisawasawa

    Nyama ya moto katupiwa MAHAKAMA🤣🤣,iwaite hao vigogo au iufyate mkia.
Back
Top Bottom