Recent content by Makuku Rey

  1. Makuku Rey

    UN yapitisha azimio la kutambua utumwa wa Waafrika kama uhalifu dhidi ya binadamu. Israel, Marekani na Argentina zapinga

    Tunataka fidia na ilhali sisi bado ni watumwa?!! Utofauti wa utumwa wa sasa na ule wa babu zetu ni eneo tu tulipofungwa minyororo! Babu zetu walifungwa minyororo miguuni na mikononi lakini sisi AKILI ZETU ZIMEPIGWA MINYORORO😓 Hiyo fidia wasitupe tuu,tutaanza KUCHAPANA RISASI KWASABABU YA HIYO...
  2. Makuku Rey

    Hakuna maisha mengine zaidi ya haya ya hapa dunia, ukipata wasaa wa kufurahi fanya hivyo to the maximum

    Kabisa mkuu,MWISHO NDIYO MWANZO MPYA. Kwa umri wangu huu wa ngazi nne na ushee nimetafakari mafundisho yao na kuisikiliza roho yangu,nimetambua kuwa mimi si mgeni duniani hapa,Nishawahi kuwapo!! KUNA MAMBO HUWA YANATOKEA KWENYE MAISHA YANGU NA NAMNA NINAVYOKABILIANA NAYO NADIRIKI KUSEMA...
  3. Makuku Rey

    Hakuna maisha mengine zaidi ya haya ya hapa dunia, ukipata wasaa wa kufurahi fanya hivyo to the maximum

    kabla ya Mama yangu kubeba ujauzito maisha yaliyokuwepo ni ya kiroho ambayo siwezi kukumbuka,TUKIFA TUNARUDI MAISHA YA KIROHO ambayo ni mazuri kuliko haya ya MWILI! Mtu ni roho,mwili ni sanduku tu lililotunza roho,MWILI huzaliwa na KUFA lakini roho yako ipo milele ikiwa imeambatana na...
  4. Makuku Rey

    Hakuna maisha mengine zaidi ya haya ya hapa dunia, ukipata wasaa wa kufurahi fanya hivyo to the maximum

    Kabla ya kuzaliwa kulikuwa na maisha kiongozi!Tumeumbiwa usahaulifu kuhusu maisha yetu chini ya miaka mitano! Je unakumbuka ulipokuwa na mwaka mmoja ulifananajee?HUKUMBUKI,kutokukumbuka kwako hakuthibitishi kuwa hukuwako. KUNA MAISHA BAADA YA KIFO ILA UBONGO WETU UNA LIMITATIONS ZAKE
  5. Makuku Rey

    SI KWELI IDO NETANYAHU, Ben-Gvir wameuawa na Iran

    Habari njema sana hii kwa wapenda haki dunia nzima
  6. Makuku Rey

    Jumuiya ya madola kuchunguza matukio ya Oktoba 29, 2025 mwezi huu

    Yaani mauaji yafanyike Oct 29 na wao waje kuchunguza mwezi MARCH😲😲😲, NADHANI HAWAIJUI CCM!
  7. Makuku Rey

    Hali ni mbaya Telaviv ukirekodi video unapigwa risasi

    Duuuh,kwa akili hii NAONA AIBU MIMI!
  8. Makuku Rey

    Teuzi mbaya za wilayani ni chanzo kikuu cha migogoro na kero kwa wananchi

    Mkurugenzi wa Wilaya ya RUNGWE ni msela mavi kazi kugonga wake za watu tuuu😔😔😔,hivi kwann MAMA YENU HAJATEUA WAKURUGENZI WENGINE MPAKA LEO?
  9. Makuku Rey

    Wanu ataka utekelezaji mwongozo wa utoaji chakula shuleni

    Kikombe cha uji wa SEMBE?!!!😬,KUSABABISHIANA UDUMAVU TUUU!
  10. Makuku Rey

    Created by AI

    Sinywi Wanywa pombe wanaenjoy sana!stress za Ndoa zitaniua ngoja leo nikatupie tubia walau tuwili,tutatu😓
Back
Top Bottom