Madereva daladala wa jiji la mbeya wamejitakia kupaki🤣🤣,haiwezekani eti daladala na bajaji ZOTE nauli ni 1000,Mimi mteja lazima ntakimbilia bajaji tuu😔
Very Sad!kubali matokeo,hata mtoto achana naye,Kuna siku atakutafuta!futa kabisa kuwa ulikuwa na mke kama huyo!!
Mwanamke atakumbuka hilo tukio milele na siku Moja atamrudisha mwanao.
Neema na baraka za Mungu haziwezi kukuleta mtu kama wewe,hii itakuwa ni Makusudi ya IBILISI kutaka kukivuruga Chama chetu!
Again and again wewe ni MKUBWA WA MASHETANI.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.