Ha ha ha akili unazitambua kwa kucoment jf? Mm nilikuwepo pale oral sema kama panel iko fair utafurahi ila kama ina wakuda haki ya nan lazima upasuke, wakati mwingine hz sahili mind set ni muhimu
Wale tulio kuwa pale utumishi turudishe majibu, licensing officers mlikuwa mnatoka kwenye chumba kama mnakamuliwa jipu [emoji3][emoji3][emoji3] mwenyewe niliona nyota nikasema eeh Mungu baba ww ndiye ujuaye ya kesho nikachukua vyeti vyangu nikaondoka,
Unaongea kwa kuwa kakolanya cyo ndugu yako, cyo kaka yako, hv vp ungekuwa ww baba yako ndo anafanya kazi bila mshahara miezi minne ungeongea upupu kama unaoongea hapo? Najua kiburi cha zahera anajua timu inashinda kwa mipango ndo maana anajua hata kindoki akidaka watashinda kwa mipango, sasa...
Cna hakika lakini mm cv yangu nilisign kabisa na barua ila nmepata email ya kutokuhitajika ifikie mahala tujue moja kwamba wao wana watu wanajitolea huko ila wanatangaza geresha tuu
Sent from my TECNO-Y2 using JamiiForums mobile app
Timu kuwa na viongozi ni wajibu na haki. Kama tukiendelea na hii tabia basi ipo siku timu haitafanya uchaguzi miaka mia, chama cha soka hwatafanya uchaguzi eti hatuhitaji uchaguzi, au ipo siku watakatalia madarakani kisa hawataki uchaguzi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.