Kuitwa kwenye usahili katika BRELA, ARU, TICD & MSC

Kuitwa kwenye usahili katika BRELA, ARU, TICD & MSC

Mkeka ujao nabet manake huku kwenye makampuni hakutabirik hakuna future siku yyte utaskia campun imefisilika huna kibarua unaanza zurura
 
Mkeka ujao nabet manake huku kwenye makampuni hakutabirik hakuna future siku yyte utaskia campun imefisilika huna kibarua unaanza zurura
Ndo hvyo lakini, licencing ni watu 24 manake kila nafasi moja watu 5 duh
 
Wale tulio kuwa pale utumishi turudishe majibu, licensing officers mlikuwa mnatoka kwenye chumba kama mnakamuliwa jipu [emoji3][emoji3][emoji3] mwenyewe niliona nyota nikasema eeh Mungu baba ww ndiye ujuaye ya kesho nikachukua vyeti vyangu nikaondoka,

Endelea kubet mkuu usikate tamaa[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wale tulio kuwa pale utumishi turudishe majibu, licensing officers mlikuwa mnatoka kwenye chumba kama mnakamuliwa jipu [emoji3][emoji3][emoji3] mwenyewe niliona nyota nikasema eeh Mungu baba ww ndiye ujuaye ya kesho nikachukua vyeti vyangu nikaondoka,
huyu jamaa kama namuona alivyokuwa anaulizwa maswali
 
Back
Top Bottom