Kwamba beki 2 ni Hassan Kessy, labda wasimpange huo ni uchochoro kwa OkwiAisee na mimi nimeota timu anayochezea Hassani Kessy itashinda goli 3 kwa bila!
Simba hatuna mashabiki mandazi kama weweMimi Simba Simba ila kuwafunga Nkana bado hapo ndo mwisho wetu. Tujipange kwa mwakani.
Nkana waagizie za mbali tu. Huwa anaziangalia zikiingia.Ndoto hiyo ipo kinyume chake,Nkana watawakalisha za kutosha tu maana golini mna pazia tu
Nasema ukweli mimi ni Simba tangu 1989. Ila ukweli usemwe tunatolewa. Period. Maandazi wewe unaeng'ang'ania ujinga.Simba hatuna mashabiki mandazi kama wewe
Yeah hayupo vizuri sana cos hatulii langoniNkana waagizie za mbali tu. Huwa anaziangalia zikiingia.
Jmosi sio mbali,tutawabaka Yanga bila ndomNkana waagizie za mbali tu. Huwa anaziangalia zikiingia.
Simba anabakwa Kitwe. Wakirudi tunawabaka wote hapa Dar. Baada ya kutupwa nje ya mashindano, mtabakwa na Biashara.Jmosi sio mbali,tutawabaka Yanga bila ndom
Ujuzi pekee alionao ni kuwapiga wenzie misumariYeah hayupo vizuri sana cos hatulii langoni
wabongo hilo hawajambozi,kwasi Saiz kapotea kabisa, eti nikazi ya Zimbwe jrUjuzi pekee alionao ni kuwapiga wenzie misumari
Inapendeza kuona vyura wanakijua vyema kikosi cha Mnyama,mimi sijui hata mmoja huko zaidi ya Ngasawabongo hilo hawajambozi,kwasi Saiz kapotea kabisa, eti nikazi ya Zimbwe jr
😀😀😀😀Aisee na mimi nimeota timu anayochezea Hassani Kessy itashinda goli 3 kwa bila!
Mnacheza lini?Kwanza kabisa nakiri ya kwamba mimi ni shabiki kindaki ndaki wa Yanga, sijawahi kuota ndoto juu ya tukio lihusulo mpira wa miguu. ila kwa mara yangu ya kwanza niliota ndoto kwenye mechi ya Ndanda vs Simba. Niliota ndoto simba kafungwa lakini mchezo ulimalizika kwa sare. Jana usiku ilikuwa ni mara yangu ya pili kuota ndoto juu ya tukio la mpira wa miguu na safari hii nimeota simba kashinda magoli mawili kwa bila dhidi ya Nkana.