Nimeota Simba kashinda magoli mawili dhidi ya Nkana

Ndoto yako in sahihi kwenye idadi ya Magoli, ila yatafungwa na Nkana red devil's na siyo Mikia fc. Kama unabisha subiri hiyo tar. 15
 
Simba kwa sasa juhudi zetu tumeelekeza kimataifa.
Nyie wa hapahapa endeleeni na mipango ya hapahapa.
Msitutoe kwenye reli yetu, kama kuwarudia tutawarudia tu hakuna shida.
Simba Sports Club LTD, Nguvu ya Radi.
 
Ila Manara kama anaenda mumlinde..Kitwe migodini na wanatumia uchawi wa kikongo
 
Mimi Simba Simba ila kuwafunga Nkana bado hapo ndo mwisho wetu. Tujipange kwa mwakani.
 
Kwanza kabisa nakiri ya kwamba mimi ni shabiki kindaki ndaki wa Yanga, sijawahi kuota ndoto juu ya tukio lihusulo mpira wa miguu. ila kwa mara yangu ya kwanza niliota ndoto kwenye mechi ya Ndanda vs Simba. Niliota ndoto simba kafungwa lakini mchezo ulimalizika kwa sare. Jana usiku ilikuwa ni mara yangu ya pili kuota ndoto juu ya tukio la mpira wa miguu na safari hii nimeota simba kashinda magoli mawili kwa bila dhidi ya Nkana.
Mnacheza lini?
 
Back
Top Bottom