Kama itakua nimekuulewa vyema ,,
Haiwezekani mtoto ambaye ndani ya matokeo yake kuna masomo mawili ana B halafu apangiwe shule ya vipaji.
Kwa mujibu wa Tamisemi wanafunzi hupangiwa shule kulingana na viwango vyao vya ufaulu.
Waliofaulu kiwango cha juu hupangiwa Vipaji maalum,
Wanaofuata...
Kama mtoto anasoma shule za serikali na umesema ada bure,
Nafikiri msaada alioutafuta ni wa chakula tu au sio?
Asaidiwe akiwa huko huko kwao unarundika ndugu wanini
Wewe ni jinsia gani? wakike au wakiume?
Hujui kua kiongozi anaweza kua na akaunt Social media akaamua kuajiri mtu wa kuziendesha?
Umekaa kimajungu majungu tu,Fanya kazi dada acha umbea
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.