Linguistic
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 3,671
- 8,237
Wakuu Habari ya Asubuhi na Poleni na Hekaheka za Ashura Wa Tabata.
Niko Nasikiliza Ufm Radio ya Azam Media, Anahojiwa Msanii Wa Maigizo Anaitwa Sophia Kanumba.
Binti Huyo Anadai aonekani Nchini Kwa Sababu Yuko Nchini Australia anasoma Kidato Cha 5.
Namskia Hapa Hata lafudhi yake imebadilika anaongea kiswahili Cha kizungu na pia anaongea kiswahili Huku anachanganya na kingereza.
Tumtakie Binti Sophia Kanumba masomo mema Huko Australia wakuu
Niko Nasikiliza Ufm Radio ya Azam Media, Anahojiwa Msanii Wa Maigizo Anaitwa Sophia Kanumba.
Binti Huyo Anadai aonekani Nchini Kwa Sababu Yuko Nchini Australia anasoma Kidato Cha 5.
Namskia Hapa Hata lafudhi yake imebadilika anaongea kiswahili Cha kizungu na pia anaongea kiswahili Huku anachanganya na kingereza.
Tumtakie Binti Sophia Kanumba masomo mema Huko Australia wakuu