Mkuu huenda yupo sahihi, maana kila page kashambuliwa sana huyo mwenyekiti wa TFF pita page ya shafii dauda pale instagram..ona comment karibu 2k zikimnanga Walace
Sent using Jamii Forums mobile app
Tumieni kondomu bwana, au kila mtu akapime kwa wakati wake....mkiwepo wote halafu akawa nao si utamnyali toka hapo maabara ndio kibuti kinaanzia, sasa imagine awaze kuambukizwa, awaze wewe utamtangaza, awaze kaachwa kisa ukimwi. Si mtazika siku 2 huyo? Ndugu yangu mimi najijua kabisa mahusiano...
Aisee hii ya kunyanyaswa kisa kupenda inauma, na ule msemo maarufu humu kwamba wanawake wanajielewa wenyewe sana nimeamini! Imagine mtu kakutafuta yy , kasema kakumiss yeye mwenyewe, alaf unajua zile ulitaka kuzila kisa alikukaushia kupokea na kujibu meseji, basi unahis labda kabadilika...
Hiv na mwanamke ambaye umemtongza lkn hajibu kama kakubali au kakataa, ukimuuliza unajua nakupenda? Anajibu ndio najua, vi elfu kumi vyako anapokea, ukimcheki Mida fulan jion anarudi home atakusubir fresh........... Tatizo ni pale ukaomba umeet nae kama Mida ya usiku kidogo, hapo ndio hajib...
Imagine mtangazaji awe upande wa Lissu, Lissu mwenyewe awe upande wake. Sasa hapo tungeelewa nini au nini ingekuwa dhima ya hayo mahojiano? Kwa sababu inteview haiukushilikisha upande wa watuhumiwa basi kwa vile mtangazaji alivyo play vile , amefanya kuwe na equal ground, na inteview haijawa...
Wew Mkuu ambacho hujaelewa ni unafikiri yule mtangazaji kamkomoa lissu kwa maswali magumu kumbe ni jinsi tu watanzania tulivyo zoea ubabaishaji, yule kafanya professional kabisa na Lissu alistahili maswali yale. Vivyo hivyo Dr wako ataulizwa maswali magumu ambayo baada ya hapo tutasema aliegemea...
It was real hard talk ......!!! TL kujitahidi sana vile vile mwandishi kajitahid sana kumbana , sio sababu ulipigwa basi uulizwe maswali mepesi au kupewa pole kwenye inteview!!! Mi naona imemjenga zaidi TL kama mtu mpangua hoja hata inapokuwa kabanwa, mwandishi alikuwa full detailed bila...
Kupitia Kwa msemaji wa serikali, mwanzo wa mwaka 2019 alitoa taarifa inayoonesha watu waliopata kazi serikalin. Takwim zikiwa ni watu 24000 ndio walipata ajira kweny kada ya afya, Na 40000 kweny kada ya uwalimu, lkn nafasi 6099 zilijazwa hiyo ni ndani ya miaka mitatu ya jpm.
Lkn nilipitia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.