Old Granny
JF-Expert Member
- Mar 28, 2018
- 392
- 554
Hahahahaa wanaume wanatupa...wavulana wanashangaa tuWanaume wanatupa Kama kawa
Na hawatakaa waelewe
Dah hapa nimejua kwamba kumbe ndo wewe mwenyewe.
nimekuelewa mzee mwenzanguNiliapa sitokuja honga tena. Nilionga Msimbazi. Manzi akafanyia fare ya kwenda kwa x wake.
Siku hizi nalipia tu huduma kwa watoa huduma (nadhani mmeelewa)
Sent using Jamii Forums mobile app
Wew kwa kaliba yako huwezi Kutana na mwanaume zaidi ya wavulana tu. Hi chai na vitumbua
Basi unakitu cha ziada sana
Ametoka kunipa laki9 niongezee katñika mambo yangu...pia amenipa 200,000 ya kula ckukuu adi january bado vi20,30 havinipitii mbali
Wapo sana
Ila ni mwanaume sio mvulana
Sent using Jamii Forums mobile app
Umesomeka mkuu, loud and clearNiliapa sitokuja honga tena. Nilionga Msimbazi. Manzi akafanyia fare ya kwenda kwa x wake.
Siku hizi nalipia tu huduma kwa watoa huduma (nadhani mmeelewa)
Sent using Jamii Forums mobile app
Nahisi ungemsweka gumi la uso angekuwa karibu yakoUnaumwa wewe kama vyuma vimekaza kwako unafikiri kwa kila mtu aisee pambana na hali yako
Sent using Jamii Forums mobile app
Hela ya kucheza biko hiiSema huna hela tu Mkuu ila waenzio wanatoa vizuri tu, tena hela ya maana sio hiyo elfu 30,000