kwani jamaa wameshamchagua???? kiongozi gani ccm ana sifa za kuwa raisi ambaye sio fisadi au ambaye hajawah kukumbwa na kashifa za ufisadi???
wakimchagua magufuri itakuwa powaaaaa.. hakuna mtu aliyekamilika duniani..ongea na mazuri ya jamaa naamini 90% jamaa yupo safi na anafaaa kuwa raisi...
Acha upu..mbavu wewe!! Msaidie mwenzio. Hakuna mtu kwenye dunia hii ambaye hajwh kupiga punyeto, labda watoto... mpe tu ushauri jinsi gani wewe mpaka sasa hivi hujawahi kupiga punyeto na umetumia njia zipi.. sio unatoa laana za kijinga jinga..
Sijawah kuvumilia maumivu ya jino zaid ya masaa 12. ,jino linauma sana mimi huwa nayatoa, yaani huwa sihitaji ushauri wa dawa toyote ile, sijui dawa ya kutibu jino bila kung'oa. Nimeshatoa meno (magego,) matatu.
Kama linauma pole sana, nenda kwa dentist (daktari wa meno) akusaidie ushauri na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.