Mkuu,watu wanaepuka majina ya asili hasa yanayoonyesha ukabila kwa sababu nyingi.
Mfano Kuna kipindi nafasi za masomo ya juu na ajira viliangalia Sana ukanda.
Hivyo ili kuepuka ubaguzi ktk hizo nafasi inabidi mtoto aandikishwe majina ambayo hayatamtambulisha,
Mf Juma Hamid Idd,John Andrew Peter...
Waalimu Tena!!yaani wanafunzi wanasiri nyingi mno,kwani mkuu ulipokuwa shule hakuna vitu mlivyokuwa mnafanya kwa Siri bila waalimu kujua?
Wewe mzazi mwenye mtoto mmoja ndo unashtuka leo,huyo mwalimu mwenye wanafunzi 80 atashtuka lini?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.