Recent content by Majoajosh

  1. M

    Kuna wimbi kubwa sana la Ulimbukeni na ushamba kwa Watanzania hasa Mtu akijua kusoma na kuandika

    Mkuu,watu wanaepuka majina ya asili hasa yanayoonyesha ukabila kwa sababu nyingi. Mfano Kuna kipindi nafasi za masomo ya juu na ajira viliangalia Sana ukanda. Hivyo ili kuepuka ubaguzi ktk hizo nafasi inabidi mtoto aandikishwe majina ambayo hayatamtambulisha, Mf Juma Hamid Idd,John Andrew Peter...
  2. M

    Masters na Bachelor vilinikosesha ajira nikaokolewa na Certificate

    Una mke mzuri, nimempenda alivyokutia moyo ktk maombi,jitahidi umpe furaha huyo wife wako
  3. M

    Picha: Afanya upasuaji kuondoa mbavu 5 na utumbo ili kuwavutia wanaume

    Haya maamuzi yake Kuna siku atayajutia,akifika umri Fulani ataana kujua kuwa alifanya upumbavu
  4. M

    Hii tabia ya uvutaji wa sigara ovyo ikomeshwe

    Hivi hakuna kiongozi wa ngazi za juu kwenye utawala huu anayevuta fegi,??
  5. M

    Hela ya mwanamke huliwa na nani?

    Hilo swali lako mbona ubavu wako ana jibu lake? Kaa naye kwa akili utajua matumizi ya hela zake. Kwani wewe hakutoi out? Hakununulii chochote,
  6. M

    Simba SC 1-3 Jwaneng Galaxy FC | CAFCL | Simba yatolewa klabu bingwa Afrika

    Kwa Nini? Kuna Nini kimetokea,acha hizo mkuu
  7. M

    Mnawezaje kutumia Internet ya halotel?

    Unajiungaje,saidia boss
  8. M

    Watoto wangu wamejifunza kucheza upatu shuleni na watoto wenzao

    Huko Bweni unafikiri ndo mahali salama?wewe kaa na wanao uwaelimishe kilicho Bora ,
  9. M

    Watoto wangu wamejifunza kucheza upatu shuleni na watoto wenzao

    Waalimu Tena!!yaani wanafunzi wanasiri nyingi mno,kwani mkuu ulipokuwa shule hakuna vitu mlivyokuwa mnafanya kwa Siri bila waalimu kujua? Wewe mzazi mwenye mtoto mmoja ndo unashtuka leo,huyo mwalimu mwenye wanafunzi 80 atashtuka lini?
  10. M

    Hiki ndo kisiwa cha migingo

    Mkuuu nimecheka kwa sauti,hahaaaa
Back
Top Bottom