Haya maisha ni magumu Sana usiombe yatokee ghafla hivi utaona dunia chungu aseeKuna mzee mmoja enzi za kikwete alikuwa mambo Safi kwako maana anafanya kazi sekta nyeti ,nilinda kwake mara kadhaa hizo draft za msosi kwake ni balaa.
Nyama kuna zilizoungwa ,zilizokaushwa ,chips ,ndizi ,ugali ,wali ,mboga za majani ,dagaa ,maharage ,matunda ,juice ,soda .
Vyote vinakuwa mezani na ni kwa kila siku,bia,wine zipo kwenye friji mda wote na makreti yapo tu store za bia na soda.
Magufuli alipoingia tu ,wakapunguza kazini ,aisee ni stress maana hakuwa na mishe zingine zaidi ya kazi ,hizo Kodi kufukuzana na wapangaji kila siku hata hela ya bia ni ishu
Ratiba muhimuYupo mmoja Bunju nilimuona. Jumapili nakumbuka ni pilau
kama umeenda safari zako ambazo hukuaga mtu, kwetu hakukuwa na mama au baba wa kutukumbusha maana slogan ni mojaMama yangu kipenz alikuwa anatwambia mtembezi hula miguu yake
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Kwangu Machalii hawataki Ugali Hahahaaa ,wao Ubwabwa ,Chips basi.
Ukiona umeanza ku judge milo ya wanafamilia ujue huja qualify kuwa babaWenye familia wana mizigo mikubwa kwenye kulisha idadi ya watu waliomo ndani ya familia.
Kwa huku kwetu hii kitu inazidi kuongezeka kwenye familia ambazo unakuta umerundika kila aina ya watu.
Unakuta huyu sijui maharage hatumii, mwengine wali, nyama fulani, samaki ila kasoro kuku na n.k
Yaani kama una mzigo kama huu tegemea kupika chakula cha harusi maana kila mtu hupenda anacho kula kwa kisingizio cha vidonda, alipotoka, mazoea, aleji na n.k
Hapo unalea akina Junior bila shakaKwangu Machalii hawataki Ugali Hahahaaa ,wao Ubwabwa ,Chips basi.
Hayo ndio maisha hata mimi ninayataka! Hela ikiwepo mbona unaishi kama binadamu kabisa ila hela ikiwa ya magumashi ndio mambo ya wali marage kila siku!Kuna mzee mmoja enzi za kikwete alikuwa mambo Safi kwako maana anafanya kazi sekta nyeti ,nilinda kwake mara kadhaa hizo draft za msosi kwake ni balaa.
Nyama kuna zilizoungwa ,zilizokaushwa ,chips ,ndizi ,ugali ,wali ,mboga za majani ,dagaa ,maharage ,matunda ,juice ,soda .
Vyote vinakuwa mezani na ni kwa kila siku,bia,wine zipo kwenye friji mda wote na makreti yapo tu store za bia na soda.
Magufuli alipoingia tu ,wakapunguza kazini ,aisee ni stress maana hakuwa na mishe zingine zaidi ya kazi ,hizo Kodi kufukuzana na wapangaji kila siku hata hela ya bia ni ishu
Muhimu kujitayarisha kwa siku zijazoKuna mzee mmoja enzi za kikwete alikuwa mambo Safi kwako maana anafanya kazi sekta nyeti ,nilinda kwake mara kadhaa hizo draft za msosi kwake ni balaa.
Nyama kuna zilizoungwa ,zilizokaushwa ,chips ,ndizi ,ugali ,wali ,mboga za majani ,dagaa ,maharage ,matunda ,juice ,soda .
Vyote vinakuwa mezani na ni kwa kila siku,bia,wine zipo kwenye friji mda wote na makreti yapo tu store za bia na soda.
Magufuli alipoingia tu ,wakapunguza kazini ,aisee ni stress maana hakuwa na mishe zingine zaidi ya kazi ,hizo Kodi kufukuzana na wapangaji kila siku hata hela ya bia ni ishu
Kuondolewa kwenye income stream ghafla inaweza kuwa fatal!Haya maisha ni magumu Sana usiombe yatokee ghafla hivi utaona dunia chungu asee
wengine maharage wanakula mchuzi tuMie swali langu ni moja tu, "ukila hicho chakula unavimba au unatoka vipele" jibu likiwa hapana basi atakula kila siku hadi akizoee,
Kuna mmoja alikuja kwangu akawa anatoa ule mkanda wa brown wa Mkate halafu anakula slice nyeupe na kwenye mboga karoti na hoho anazichambua, yaan jitu zima kabisa linaacha kula linachambua karoti na hoho ndio ale, dah!
Nilichomfanyia... heshima na adabu.
Usiendekeze watoto..siku haupo watateseka sana...watashindwa kuishi na watu wengineKwangu Machalii hawataki Ugali Hahahaaa ,wao Ubwabwa ,Chips basi.
Kudadadeki!!!😂 hivi husema mabinti hufanana na mama zao eeeh!Mie swali langu ni moja tu, "ukila hicho chakula unavimba au unatoka vipele" jibu likiwa hapana basi atakula kila siku hadi akizoee,
Kuna mmoja alikuja kwangu akawa anatoa ule mkanda wa brown wa Mkate halafu anakula slice nyeupe na kwenye mboga karoti na hoho anazichambua, yaan jitu zima kabisa linaacha kula linachambua karoti na hoho ndio ale, dah!
Nilichomfanyia... heshima na adabu.