Pesa walinipa ila full kunikatia mauno chupi zikiwa mapajani huku wwnanionesha ma***ko na k****ma zao na walitaka buku 10 niwale wote wawiliDaah! Pole mkuu, walikupa mshahara wako lakin??
Pesa walinipa ila full kunikatia mauno chupi zikiwa mapajani huku wwnanionesha ma***ko na k****ma zao na walitaka buku 10 niwale wote wawiliDaah! Pole mkuu, walikupa mshahara wako lakin??
Pesa walinipa ila full kunikatia mauno chupi zikiwa mapajani huku wwnanionesha ma****ko na k**ma zao na walitaka buku niwale wote wawiliDaah! Pole mkuu, walikupa mshahara wako lakin??
Safi,hiyo boda mwamba ingesepeshwa.Hii kazi ina majaribu sana.Ngoja niwape stori ya miaka 2 nyuma kuna wadada niliwapakia maeneo ya tegeta wanakwenda mashimoni (skanska kwa chini kidogo) sasa niliwapakia mshikaki ilikuwa ni usiku around saa 8 au 9 kipindi hicho nakesha sasa basi wakasema wamebanwa na mkojo nami nikatafuta eneo zuri nkawaambia haya kojoeni hapa nao wakasema twende tuu tutakojoa home sasa basi ile nawafikisha nyumbani kwao walipopanga wakaenda mbele ya taa kubwa ya nyumba wakavua nguo wote wakakojoa huku mimi wameniachia ma***ko nayakodolea macho walivyomaliza wakaja huku chupi zipo magotini wakaanza kunichezea nyimbo wakiwa uchi kabisa na kuniambia niwape elfu 10 niwale wote na chumba ni chao na kuhusu usalama wa boda wakasema unaisogeza hadi mlangoni alafu tunaacha mlango wazi ili uione aiseee niliwaza mengi sana kama ningekua nina tamaa ningetafuna wote ila nikawakatalia kwakua namuacha mkewangu kuja kukesha kwa ajili ya kutafuta pesa ila haya mengine hapana,hayo ndio majaribu niliyokutana nayo
Siyo mzembe,anajielewawe jamaa ni mzembe sana ingekuwa mimi nisingechomoka hapo