Wenzetu washaachana na manyuzi nyuzi miaka mingi Sana.Hata huyu queen posh naye kafanya operation, sasa mwili utabaki salama na manyuzi nyuzi si unabaki na alama za mishono ama
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukimkamia uyu unamuua kabisaDoh! Hapa akili yangu ndogo ime imagine hv
nipo kitandani na mwanamke hana utumbo na mbavu 5
Wanaume hebu tufanye tu imagination tuone inatokea nn apo
Na jela unaenda.Ukimkamia uyu unamuua kabisa
Huyu ni kichaa. Laiti wapumbavu kama hawa wangekuwa wanapotelea huko theatre ili liwe somo kwa wengineMuigizaji kutoka Ghana Princess Shygle, ameistua dunia kwa kufanyiwa upasuaji na kuondolewa mbavu zake tano pamoja na utumbo ili kupata umbo namba 8 kwa ajili ya kuvutia wanaume. View attachment 1012112View attachment 1012113View attachment 1012114View attachment 1012115View attachment 1012116View attachment 1012118
Sent using Jamii Forums mobile app
Don't generalize stupidly like that. If your mom was empty headed like this you wouldn't have been where you are today kenge mkubwa
Kenge ni aliyekuzaa na kukunyonyesha fisi maji mkubwa weDon't generalize stupidly like that. If your mom was empty headed like this you wouldn't have been where you are today kenge mkubwa
Kkkkk kumbe imekuingia vizuri. Good jobKenge ni aliyekuzaa na kukunyonyesha fisi maji mkubwa we
analia matakoniKwahiyo akila inakuaje yani!?... Au hali kabisa?