Ishomile Wawili
Member
- Sep 17, 2019
- 85
- 227
"Cha Mtu huliwa na Mtu"
Asante sana Kaka.Hata sisi tunao wakunja vizuri huwa tunahonga pia
Hizo pesa ninazotafuta ndio nawapa wao lakini za kwao sijui wanapeleka wapiTafuta hela, haya maswali hayatakusumbua.
Tatizo la watu wakati wa kuanzisha mahusiano mnasikiliza sana watu.Wakuu poleni na majukumu ya siku nzima,
Asilimia kubwa ya wanawake hawalipi Kodi hawalipi ada za watoto wala bili ya aina yeyote ile japo kazi wanafanya.
Mbali na mahitaji muhimu ya nyumbani kuhudumiwa kwa pesa ya mwanaume, pia pesa ya saluni ya mwanamke inatoka mfukoni kwetu sisi wanaume.
Je pesa zao huwa wanapeleka wapi..?
Na viben10Waganga wa kienyeji, mitume na manabii, saloon na maduka ya nguo
Hawa jamaa wana ratiba nyingi mpaka basi! Wakati mwingine tuwaache tu. Kwanza ni viumbe wenye tamaa sana! Yaani akiona kitu halafu akakipenda, basi ni lazima tu atakinunua. Wana mahitaji mengi sana kuliko sisi wanaume! Mfano kwenda saluni, kupaka rangi na kusafisha kucha, nk.Wakuu poleni na majukumu ya siku nzima,
Asilimia kubwa ya wanawake hawalipi Kodi hawalipi ada za watoto wala bili ya aina yeyote ile japo kazi wanafanya.
Mbali na mahitaji muhimu ya nyumbani kuhudumiwa kwa pesa ya mwanaume, pia pesa ya saluni ya mwanamke inatoka mfukoni kwetu sisi wanaume.
Je pesa zao huwa wanapeleka wapi..?
Daa hongera mkuu, kwa kweli inabdi ajengewe sanamu sio kwa upendo huoTatizo la watu wakati wa kuanzisha mahusiano mnasikiliza sana watu.
Mara demu mmwenye tako,
Mara pisi kali,
Mara sijui nini ?
Mwisho wa siku unaoa slay queen halafu unakuja kulalamika kindezi humu.
Mimi demu wangu kanipa mpaka password na mimi ndio naenda kutoa pesa.
Naal ameshasema tukianza kuishi wote, pesa zake zitakuwa za kula na zangu za kufanya mambo mengine.
Vijana acheni kujiingiza kwenye mahusiano ya kuridhisha walimwengu.
Hilo swali lako mbona ubavu wako ana jibu lake?Wakuu poleni na majukumu ya siku nzima,
Asilimia kubwa ya wanawake hawalipi Kodi hawalipi ada za watoto wala bili ya aina yeyote ile japo kazi wanafanya.
Mbali na mahitaji muhimu ya nyumbani kuhudumiwa kwa pesa ya mwanaume, pia pesa ya saluni ya mwanamke inatoka mfukoni kwetu sisi wanaume.
Je pesa zao huwa wanapeleka wapi..?
Siku hizi ni hawa wafuataoWakuu poleni na majukumu ya siku nzima,
Asilimia kubwa ya wanawake hawalipi Kodi hawalipi ada za watoto wala bili ya aina yeyote ile japo kazi wanafanya.
Mbali na mahitaji muhimu ya nyumbani kuhudumiwa kwa pesa ya mwanaume, pia pesa ya saluni ya mwanamke inatoka mfukoni kwetu sisi wanaume.
Je pesa zao huwa wanapeleka wapi..?
Mimi wazazi wake walinisomesha mbona namhudumia yeye na wazazi wake?!Kwani ulimsomesha wewe mkuu? Acha wazazi wake wafaidi jasho walilo litoa kumsomesha mtoto wao
ViBen10Wakuu poleni na majukumu ya siku nzima,
Asilimia kubwa ya wanawake hawalipi Kodi hawalipi ada za watoto wala bili ya aina yeyote ile japo kazi wanafanya.
Mbali na mahitaji muhimu ya nyumbani kuhudumiwa kwa pesa ya mwanaume, pia pesa ya saluni ya mwanamke inatoka mfukoni kwetu sisi wanaume.
Je pesa zao huwa wanapeleka wapi..?
Hata wewe mkuu muda wa kujisifia bado haujafika.Tatizo la watu wakati wa kuanzisha mahusiano mnasikiliza sana watu.
Mara demu mmwenye tako,
Mara pisi kali,
Mara sijui nini ?
Mwisho wa siku unaoa slay queen halafu unakuja kulalamika kindezi humu.
Mimi demu wangu kanipa mpaka password na mimi ndio naenda kutoa pesa.
Naal ameshasema tukianza kuishi wote, pesa zake zitakuwa za kula na zangu za kufanya mambo mengine.
Vijana acheni kujiingiza kwenye mahusiano ya kuridhisha walimwengu.