Recent content by majdah

  1. M

    Countries stopping Boeing 737 Max 8 flights: Tanzania doesn’t care at all about safety of its citizens

    Sisi tumshukuru Mungu serikali yetu haijanunua hizo na so far hatuna order nazo lkn kuna nchi hapo hata na wao hawana lkn wamezizua kuruka au kutua na nyengine hata kupita tu ktk anga lao kwa sababu za kiusalama. Hizo ndege zinalalamikiwa ati zina tatizo la kustall wakatiki wa kuruka na na...
  2. M

    CEO wa Vodacom aliyeteuliwa toka Kenya anyimwa kibali na Serikali. Aambiwa wapo watanzania wa kufanya kazi hiyo

    Mkataba wa east african coutries sasa una kazi gani ktk hali kana hiyo?
  3. M

    Zari ana mkosi na wanaume: Muda ukifika ataachana na muuza karanga kama ilivyotokea kwa Ivan

    Kwani walikuwa wameowana rasmi...si waliishi tu ktk zinaa...
  4. M

    Wanaume nina swali kwenu, naomba majibu

    Kunakuwa na hamu na gamu, upya (bikra) na uzoefu, muda wa tendo mkubwa then mdogo, na uzoefu unazidisha mautundu na au kero...
  5. M

    Enyi wanaume ishini na wake zenu kwa akili

    Haya tumesikia ________________________________________ Unaweza kumpigia simu mpenzi wako mkale bata mahali flani akakwambia hana nauli na wakati anakipato kizuri tu na mbaya zaidi nauli haizidi hata buku, lakini anaweza kuja na bajaji wakakupiga buku 15. Halafu bili ikija hawezi kulipia hata...
  6. M

    Faida za kutovaa nguo ya ndani

    Chupi ni nini.. ?
  7. M

    CCM yatamba kushinda majimbo yote

    Shindeni na muwashindilie...
  8. M

    Ushauri kwa CHADEMA: Kaeni mkijuwa msipomuwahi Lowassa yeye atawawahi

    Na wakimuacha kidogo atawageukia kama kama cuf walivyofanywa na propesa...na yy alianza ziara kwa mkulu baadae akanza vituko...
  9. M

    Mtoto wa boss anichanganya akili, naombeni ushauri.

    Si umesema muko wawili yu ktk ofisi. Sasa hao staffs wengine wametokea wapi...
  10. M

    Maalim Seif: Jeshi la Polisi na Prof. Lipumba wanashirikiana kuihujumu CUF

    Kashakubalu kukaa mezani na Libumba...maji ya shingo...
  11. M

    Naomba experience zenu Mara ya kwanza ku......

    Jaribu haina madhara lkn...utawrza tu...
  12. M

    Rufaa ya mchezaji Langa Lesse Bercy wa Congo Brazzaville

    Tushapigwa changa la macho hapo...
Back
Top Bottom