Sisi tumshukuru Mungu serikali yetu haijanunua hizo na so far hatuna order nazo lkn kuna nchi hapo hata na wao hawana lkn wamezizua kuruka au kutua na nyengine hata kupita tu ktk anga lao kwa sababu za kiusalama. Hizo ndege zinalalamikiwa ati zina tatizo la kustall wakatiki wa kuruka na na...
Haya tumesikia
________________________________________
Unaweza kumpigia simu mpenzi wako mkale bata mahali flani akakwambia hana nauli na wakati anakipato kizuri tu na mbaya zaidi nauli haizidi hata buku, lakini anaweza kuja na bajaji wakakupiga buku 15. Halafu bili ikija hawezi kulipia hata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.