Elimu inasaidia wanandoa, marafiki au wachumba kuwa na lugha moja hasa katka mipango yao. Lakn kuishi katka level ya maisha kulingana na status za wawili hao
Nikuulize labda
1: Hilo tangazo la kuwa postgraduate diploma hawatakiwi liliwekwa website gani?
2. Serikali ilivosema ina uhaba wa walimu hasa masomo ya sayansi, na inampango wa kuwa train shortcourse wale wa fani zngine ilimanisha nn?
Suala la uzazi kila mwanamke analiexperience kivyake, wapo baadhi anapokuwa ananyonyesha hawez pata mimba, ila wengine wanapata.
Kubleed baada ya kujifungua hakuna specific time na hakuko constant, kila mwanamke anaexprience kivyake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.