Recent content by maite dan

  1. M

    TUJADILIANE: Je Elimu ina umuhimu gani kwenye mahusiano?

    Elimu inasaidia wanandoa, marafiki au wachumba kuwa na lugha moja hasa katka mipango yao. Lakn kuishi katka level ya maisha kulingana na status za wawili hao
  2. M

    Rais Magufuli: Baadhi ya Mawaziri katika Serikali yangu ni Wapumbavu

    Ukweli upo lakini neno alotumia ni kali sana. Hata kwa kutumia tafsida angeeleweka vyema. Anaharibu morale yao
  3. M

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Njoo chalinze, idara secondary aje mvomero Mawasiliano 0785090687 au 0682052641 au 0753442198
  4. M

    Naomba tushauri hawa graduates wa postgraduate diploma wamekata tamaa

    Nikuulize labda 1: Hilo tangazo la kuwa postgraduate diploma hawatakiwi liliwekwa website gani? 2. Serikali ilivosema ina uhaba wa walimu hasa masomo ya sayansi, na inampango wa kuwa train shortcourse wale wa fani zngine ilimanisha nn?
  5. M

    Rafiki angu ananiroga

    Achana na waganga watakuchonganisha na kila mtu. Come to Jesus hutalogwa tena
  6. M

    Nawaza: Walimu wenye diploma na grade A wangepunguzwa kupisha digrii

    Kweli mkuki mtamu kwa nguruwe, unachokisema kingekutokea wwe au ndg wa karibu ungeelewa
  7. M

    Walimu wawili wa sanaa wageukia kuuza Mitumba

    Mungu awapiganie kupitia huo mrad
  8. M

    Je kubadilibadika kwa hedhi ni ishara ya tatizo kwenye afya ya uzazi?

    Hapana. kubadilika kwa mzunguko kunasababishwa na vichocheo, mazingira na vyakula
  9. M

    Kwa wanawake walioko kwenye ndoa tu

    Wanaume kwa kujihami hamjambo.
  10. M

    Uzazi wa Mpango - Njia za kuzuia, aina ya Uzazi wa mpango na ushauri

    Suala la uzazi kila mwanamke analiexperience kivyake, wapo baadhi anapokuwa ananyonyesha hawez pata mimba, ila wengine wanapata. Kubleed baada ya kujifungua hakuna specific time na hakuko constant, kila mwanamke anaexprience kivyake
Back
Top Bottom