Je kubadilibadika kwa hedhi ni ishara ya tatizo kwenye afya ya uzazi?

Kimbori

JF-Expert Member
Feb 21, 2012
5,446
3,202
Kuna wanawake hubadilika mzunguko wao kila mwezi. Kwa mfano 14 Mei, 18 Juni, 24 Julai, 26 Agosti, 30 Septemba, 06 Octoba, ... Inatokea hata mwezi kuwa na siku zaidi ya 36.
Je hali hiyo inaashiria tatizo katika mfumo wa uzazi linaloweza kuzuia mwanamke huyo kushika ujauzito?
Msaada tafadhali.
 
Ikiwa kama kubadilika kwa vichocheo (hormones) kunachangia, si inawezekana vichocheo hiivyo vikawa na athari hasi kwenye upatikanaji wa mimba?
 
Hormonal imbalance,

Ni tatizo ndio, hupelekea hata kushika mimba ukusikie kwa wenzio tu,

Nenda hospital utapata tiba zake au google utapata details zote.
 
Kuna mzunguko mfupi na mrefu mfupi ni siku 21 mpaka 27 Normal ni siku 28 na mzunguko mrefu ni 35 Ndo unaokubalika.

Hivyo mzunguko ukizidi siku 35 hapo kuna tatizo kuna hormonal imbalance ambayo husababishwa na vitu vingi vifuatavyo
Uzito mkubwa, uzito mdogo, kufanya mazoezi Sana,Polycyst Ovary syndrome,Ovary Cyst,kutumia njia za uzazi wa mpango fibroids etc

Nenda hospital kwa gyno ujue tatizo watakufanyia Ultrasound sound wacheck hormones zako.

Kama uko Dar nenda Rabininsia Memorial hospital muulizie Dr. Kashagama ni gyno Nzuri ipo tegeta kituo namanga au Regency Dr. Shafiq au Tikaya Health centre Dr. Kapona
 
Kuna mzunguko mfupi na mrefu mfupi ni siku 21 mpaka 27 Normal ni siku 28 na mzunguko mrefu ni 35 Ndo unaokubalika.

Hivyo mzunguko ukizidi siku 35 hapo kuna tatizo kuna hormonal imbalance ambayo husababishwa na vitu vingi vifuatavyo
Uzito mkubwa, uzito mdogo, kufanya mazoezi Sana,Polycyst Ovary syndrome,Ovary Cyst,kutumia njia za uzazi wa mpango fibroids etc

Nenda hospital kwa gyno ujue tatizo watakufanyia Ultrasound sound wacheck hormones zako.

Kama uko Dar nenda Rabininsia Memorial hospital muulizie Dr. Kashagama ni gyno Nzuri ipo tegeta kituo namanga au Regency Dr. Shafiq au Tikaya Health centre Dr. Kapona
Hivi inawezekana siku ya kwanza ya hedhi mwanamke akashika mimba kulingana na mzunguko wake wa hedhi
 
Hivi inawezekana siku ya kwanza ya hedhi mwanamke akashika mimba kulingana na mzunguko wake wa hedhi
Unapokuwa hedhi upo comfortable kukutana na mwenzi wako? Wakati wa hedhi huwezi kushika ujauzito
 
Kuna wanawake hubadilika mzunguko wao kila mwezi. Kwa mfano 14 Mei, 18 Juni, 24 Julai, 26 Agosti, 30 Septemba, 06 Octoba, ... Inatokea hata mwezi kuwa na siku zaidi ya 36.
Je hali hiyo inaashiria tatizo katika mfumo wa uzazi linaloweza kuzuia mwanamke huyo kushika ujauzito?
Msaada tafadhali.
Nakupm Mkuu inakataa ntumie number yako pm ntakucheck
 
Na mie nisaidie! kuna mama mmoja jirani yangu ana miaka 48 ana lalamika kuwa bado anapata hedhi, hivi inatokana na nini?
Ana bahati sana kuna staff mwenzetu hali hiyo imemfika kwenye miaka 43, kasheshe zake ni mbaya sana, anapata wakati mgumu maana kuna kipindi anatokwa na jasho jingi mpaka anaona vibaya, yaani anashida kila saa lazima awe karibu na bafu aweze kujisha uso, anatamani sana kurudisha tena bleed ila ndio haiwezekani.
 
Ana bahati sana kuna staff mwenzetu hali hiyo imemfika kwenye miaka 43, kasheshe zake ni mbaya sana, anapata wakati mgumu maana kuna kipindi anatokwa na jasho jingi mpaka anaona vibaya, yaani anashida kila saa lazima awe karibu na bafu aweze kujisha uso, anatamani sana kurudisha tena bleed ila ndio haiwezekani.
Kuna dawa kwa ajili ya watu waliofika menopause azitafute aelezee anavofeel atakuwa poa
 
Kuna dawa kwa ajili ya watu waliofika menopause azitafute aelezee anavofeel atakuwa poa
kweli mkuu? zinapatikana pharmacy au za kienyeji? maana anasema hospital walimwambia ni kipindi cha mpito ila ndio hivyo mpitito wa shida.
 
Zinapatikana hospital asiende pharmacy aende kwa gyno ajieleze atamrecommend atumie zipi au asitumie kutokana na hali yake
 
Ana bahati sana kuna staff mwenzetu hali hiyo imemfika kwenye miaka 43, kasheshe zake ni mbaya sana, anapata wakati mgumu maana kuna kipindi anatokwa na jasho jingi mpaka anaona vibaya, yaani anashida kila saa lazima awe karibu na bafu aweze kujisha uso, anatamani sana kurudisha tena bleed ila ndio haiwezekani.
Inaonekana ni overweight huyo njia Nzuri hapo ni kufanya exercise to reduce the fat that upset estrogen and progesterone ratios especially sehemu za tumboni apunguze.
 
Inaonekana ni overweight huyo njia Nzuri hapo ni kufanya exercise to reduce the fat that upset estrogen and progesterone ratios especially sehemu za tumboni apunguze.
Mtu mwenyewe si mnene ana mwili wastani labda kama ana mafuta tumboni mkuu.
 
Back
Top Bottom