Bora umeeleza vizuri ni kwa wanawake wanaojielewa na wanaotimiza wajibu wao vizuri..
Kwa hapo nakusapoti
Mwanamke ambae hajielewi na wajibu wake hautekelezi vyema basi kuchepuka ni lazima kwa mumewe.
Mimi hata nikiulizwa ni nini muelekeo au vipao mbele vya hii serikali siwezi kujibu, mana leo utasikia hili halijakamilika kesho utasikia lile hali kadhalika kesho kutwa nayo itakua na lake.
Hii ni kwa sababu hakuna katiba ya kueleweka kila mtu anafanya analowaza kicheani mwake.
Huwezi...
Ninyi ni ombaomba tu huwezi andika waraka mrefu hivi kujaribu kusafunya ushenzi mlioufanya..kale kajamaa kameingia tu kanarukaruka uwanjani kumbe kanawaza[emoji151][emoji151][emoji151][emoji151]
Ukisema wanaume tu ndo tuna roho ngumu unakua mbinafsi pia haya mambo sasa hivi si ya upande mmoja japo linapotokea anayeonekana anaonewa ni mwanamke.
Kiukweli jamaa yuko wazi hampendi huyo mama ilitokea tu mimba bahati mbaya sasa katika hali kama hiyo ukioana na mtu ambaye hayuko moyoni mwako...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.