Unachotakiwa kuelewa ni kwamba bro anamfukuza jamaa kiujanja janja.
Yeye hapo anatakiwa kutafuta mahali alipie kimya kimya, siku ya siku anabeba vitu vyake vyote anapeleka kwake, halafu baada ya hapo ndo ampigie bro wake simu kwamba amehama.
Ushauri: Kama una muheshimu kaa naye umweleze namna unavyo kwazika na hilo. Walau kuwe na ratiba rafiki, hapa hakikisha unatumia hata kwa njia ya meseji kumweleza.
Ukiona habadiliki, jipange taratibu bila kumshirikisha, tafuta chumba lipia hata miezi 3, siku ya siku unabeba vitu vyako na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.